mh naibu wazir wa nishat na madini anaongea live statv kuhusiana na suala la ges mtwara pamoja na wachambuz wengine, anaxema ges inaletwa daslam il kuendesha uchumi wa nchi, only 14pecent to dsm, gvt shares 60percent, fuatilia
mh naibu wazir wa nishat na madini anaongea live statv kuhusiana na suala la ges mtwara pamoja na wachambuz wengine, anaxema ges inaletwa daslam il kuendesha uchumi wa nchi, only 14pecent to dsm, gvt shares 60percent, fuatilia
Maamuzi yalishapitishwa hata akijadili mwaka mzima ubabe ushafanyika
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Kauli ya Waziri na Naibu waziri zinapingana...Waziri amesema 14% tu ndo ya gesi iliyopo Mtwara na 76% ipo eneo la bahari kimataifa...na Simbachawene ametaja baadhi ya maeneo kama Sudi bay, mikindani bay n.k yatajenngwa viwanda vya mbolea kutumia 76% ya gesi....hilo eneo la kimataifa tuna mamlaka nalo? Nachanganyikiwa kabisa......ila Simbachawene amekuwa muungwana kwa lugha aliyoitumia katika maelezo yake.
Kumbuka simbachawene ni Mwanasiasa na Waziri wake sio mwanasiasi,ukizama ndani kabisa utagundua tunapigwa changa tu na hawa wazoefu wa majukwaa,ebu fikiria ni kiasi gani wananchi wa Merereni,Nyamongo,Geita,Bulyaghulu,Kahama,Nyalugusu,Tanga,etc wamenufaika na hyo madini? Ukisoma mikataba yao inasema kabisa kuwa mwekezaji Lazima aboreshe eneo husika,hasa huduma za jamii,Hospital,skuls,na barabara,ila mtu anamaliza miaka20 bila kufanya lolote nawanakabidhi mashimo tupu,Hili group la watu Laki5 linalofaida hii nchi kuna siku walahi mtasaga meno
"Tutasaga meno" ww si Mtziiiiii