Mhaya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2023
- 2,563
- 7,321
Hizi Simba na Yanga muda mwingine utumika kusahaulisha watu kuhusu mambo mengi yanayohusu Nchi. Leo hii CAG katoa Ripoti lakini vichwa vya habari mitandaoni ni Simba na Yanga na TFF. Ni kama hili jambo linapewa Airtime hili watu wasiongelee mambo ya msingi kama Maendeleo ya nchi yanayoendana Sambamba na ripoti ya CAG.
Ukitazama wananchi wanaoshupalia kuhusu Simba na Yanga ndio hao hao wenye Maisha Duni, ambao badala ya kuwekeza muda mwingi kwenye mambo yenye tija kwenye kujenga nchi kazi yao ni kuimba kivumbi na jasho.
Soma Pia:
Wanasiasa wakiona kuna sintofahamu, basi utengeneza propaganda kwenye michezo hasa Simba na Yanga kuwasahaulisha wananchi
Ukitazama wananchi wanaoshupalia kuhusu Simba na Yanga ndio hao hao wenye Maisha Duni, ambao badala ya kuwekeza muda mwingi kwenye mambo yenye tija kwenye kujenga nchi kazi yao ni kuimba kivumbi na jasho.
Soma Pia:
- Rais Samia akipokea Ripoti ya CAG kwa Mwaka 2023/2024 Ikulu Dar, Machi 27, 2025
- Serikali yawaita mezani TFF, TPLB, Yanga na Simba kutafuta suluhu ya Dabi
Wanasiasa wakiona kuna sintofahamu, basi utengeneza propaganda kwenye michezo hasa Simba na Yanga kuwasahaulisha wananchi