Simba wapata hasara baada ya kuukosa ubingwa Nbc

Simba wapata hasara baada ya kuukosa ubingwa Nbc

Mbassa one

New Member
Joined
Jul 8, 2025
Posts
3
Reaction score
8
Waliandaa mpka tishert za ubingwa lakini ikawa tofauti... hivyo kontena nzima ya hizo tishert hazivaliki
IMG-20250709-WA0003.jpg
 
KARIBU SANA JAMII FORUM MKUU.
Hapa ni Home of great thinkers
Sio sehemu ya Wajinga na wapotoshaji.

Hizo Tshirt hazijaandaliwa na Simba, wala hazijatengenezwa na Simba.
Hizo Tshert (Form six).

Ziliandaliwa na NBC bank kwa kushirikiana na TFF.
ZILIANDALIWA KWAAJILI YA BINGWA KWENYE MCHEZO WA MWISHO WA LIGI KUU SIMBA NA YANGA.25-6-2025.

FICHA UJINGA AISEE.
 
KARIBU SANA JAMII FORUM MKUU.
Hapa ni Home of great thinkers
Sio sehemu ya Wajinga na wapotoshaji.

Hizo Tshirt hazijaandaliwa na Simba, wala hazijatengenezwa na Simba.
Hizo Tshert (Form six).

Ziliandaliwa na NBC bank kwa kushirikiana na TFF.
ZILIANDALIWA KWAAJILI YA BINGWA KWENYE MCHEZO WA MWISHO WA LIGI KUU SIMBA NA YANGA.25-6-2025.

FICHA UJINGA AISEE.
Pole umekutwa na jiwe gizani?Ila bado ziliihusu simba na ubingwa.
 
October tunaenda na Prof Samia kiongozi wa kasi na ubunifu.

Miradi mizito, Mafanikio ni kila kona: diplomasia, uchumi, kilimo, afya, na uwekezaji
huku sauti ya Tanzania ikisikika dunia nzima.

Tuna kila sababu za kumchagua Dkt. Samia Suluhu Hassan profesa wa siasa na uongozi

Oktoba ni mitano tena bila kupinga!

#KaziNaUtu
#TunasongaMbele
 
Kwahiyo kuna shabiki, mwachama au kiongozi wa Simba ambaye aliwaza kabisa kuwa Simba hii ya sasa ingemfunga Yanga halafu iwe Bingwa....
Ni kama Madrid na PSG, inakuhitaji ujitoe ufahamu kikwelikweli yaani..
 
October tunaenda na Prof Samia kiongozi wa kasi na ubunifu.

Miradi mizito, Mafanikio ni kila kona: diplomasia, uchumi, kilimo, afya, na uwekezaji
huku sauti ya Tanzania ikisikika dunia nzima.

Tuna kila sababu za kumchagua Dkt. Samia Suluhu Hassan profesa wa siasa na uongozi

Oktoba ni mitano tena bila kupinga!

#KaziNaUtu
#TunasongaMbele


SHENZI.
 
Back
Top Bottom