Najiuliza sana kwamba, kwa nini Simba hawachezi na wanakuwa na mechi viporo vingi..!!!???
Pia toka hii ligi ianze msimu huu Yanga ndio lazima itangulie kucheza kisha ndipo Simba ifuate, angalia vizuri toka hii ligi imeanza ni hivyo hivyo.
Kuna namna bodi ya ligi inatumiwa nafikiri na yule msomali kuhakikisha kwamba Simba inachukua ubingwa msimu huu.
Bila shaka wanaachiwa viporo ili ije kuwa rahisi kutengeneza matokeo kwa kununua mechi na kuibuka washindi. Hii nchi kila kitu ni cha hovyo tu hamna kitu kizuri. Bure kabisa.