Simba wamfariji Kwa chochote refa aliyefungiwa

Simba wamfariji Kwa chochote refa aliyefungiwa

HERRI SASII amefungiwa miezi sita (6) kuchezesha mechi kutokana na kutolimudu na kushindwa kutafsiri sheria 17 za mchezo wa soka kwenye mechi ya Simba dhidi ya Singida.

Kwann wanapaswa kumfariji refa
.... kwasababu ndio wanufaika wakuu wa marefaView attachment 3356284

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kwani aliboronga bure? Alilipwa mshahara wake wa hiyo miezi 6, hakuna alichopoteza. Adhabu ingekuwa kufutwa kabisa kuwa mwamuzi NBC PL.
 
Hakuna timu inaweza kulazimisha uwanja wa nyumbani iutakao hata kama ni mbovu. Ndio maana unasikia mara Sokoine, mara Jamhuri, mara sijui Ali Hassan Mwinyi, vimefingiwa hadi ukarabati ufanyike. TFF ndio waamuzi wa mwisho
kwani KMC COMPLEX ulifungiwa? tukikisema tunachezea kirumba au z'bar?
 
kwani KMC COMPLEX ulifungiwa? tukikisema tunachezea kirumba au z'bar?
Mamlaka za mpira ndio wenye say ya mwisho. Simba walitaka kucheza Lupaso lakini CAF wakasema Amaan Zanzibar.
 
Uwanja wa Lupaso umepitishwa kutumika katika dabi ya June 15.
Angalia kenge hii,anaeamua uwanja upi utumike ni team mwenyeji,je lini Yanga wametoa tangazo kua Lupaso itatumika?Je Yanga wakisema watatumia uwanja wao wa nyumbani ambao ni KMC COMPEX?
 
Ndio tumedhamiria, lakini baada ya kucheza
tunaitaka bodi itoe uamuzi kwa nini july 8 walihairisha? Mbona kamati ya usimamizi wa ligi imemfungia herri sasii mda mfupi baada ya game ya mikia vs sbs hili la maamuzi ya dabi mbona linakuwa suala gumu?
 
Angalia kenge hii,anaeamua uwanja upi utumike ni team mwenyeji,je lini Yanga wametoa tangazo kua Lupaso itatumika?Je Yanga wakisema watatumia uwanja wao wa nyumbani ambao ni KMC COMPEX?
KMC sio uwanja wa Yanga, ni wa Manispaa ya Kinondoni. Yanga inapangiwa kiwanja chochote maana hata cha mazoezi haina
 
Ubaya ubwela umebalance sasa vizuriii kabissa....
Kayoko vs Heri sasii...
Safi sanaa
 
Huko kufungiwa kwenyewe kwa mchongo... Unamfungiaje refa miezi ambayo ligi itakuwa imeshasimama!!
Sanasana atatumikia adhabu yake kwa miezi miwili na sio 6..

Tff wanajikosha tu.
 
Back
Top Bottom