DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,979
- 11,816
Emmanuel Mwandembwa amefungiwa miezi 6 baada ya kushindwa kumudu mchezo kati ya Yanga na Coast Union
Refa huyo alifanya matukio ya kutatanisha yakiashiria kuwa alipokea bakshish kutoka kwa WALOZI WA JANGWANI..
matukio hayo ni pamoja na kushindwa kutafsiri vema sheria 17 za soka kwa kumpa kadi nyekundu Khalid Aucho aliyempiga kiwiko mchezaji mwenzake na yeye akiona kwa macho yake mawili...
Lakini pia kumpa kadi ya njano mtu asyestahili kupewa kadi hiyo...
TFF imemfungia pia mchezaji Aucho kwa tukio hilo la hatari,
Utopolo kutwa mnashinda kulalamika hapa jukwaani kuwa TFF inawaonea wakati nyinyi ndio mnabebwa na hiyo TFF ,
Refa huyo alifanya matukio ya kutatanisha yakiashiria kuwa alipokea bakshish kutoka kwa WALOZI WA JANGWANI..
matukio hayo ni pamoja na kushindwa kutafsiri vema sheria 17 za soka kwa kumpa kadi nyekundu Khalid Aucho aliyempiga kiwiko mchezaji mwenzake na yeye akiona kwa macho yake mawili...
Lakini pia kumpa kadi ya njano mtu asyestahili kupewa kadi hiyo...
TFF imemfungia pia mchezaji Aucho kwa tukio hilo la hatari,
Utopolo kutwa mnashinda kulalamika hapa jukwaani kuwa TFF inawaonea wakati nyinyi ndio mnabebwa na hiyo TFF ,