Jakaya Kaamua kufunguka haswaaa! Cheki clip hapo chini. Nimefikiri sana namna mzee wetu alivyofikisha ujumbe kwa Sisi wana yanga.
Safar ya mpira tz bado ndefu.
Kama yanga baridi siku moja ya mechi ya yanga vaa jezi au shati jekundu halafu kakae jukwaa la yanga, uje utusimulie hapa kama hujavuliwa hadi pichu, au uwe unatembelea jukwaa la yanga uone mishemishe zao .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.