Simba vs Yanga Okt 16, 2010

Mohamed Kijuso ameingia badala ya Ochani , Godfrey Boni anaingia badala ya Chuji
 
Kihemba anatoka anaingia Aziz wa Simba. Faulo Kaseja katoka kafanya faulo ilikua goli la 2 na sasa inapigwa
 
hii mechi kwa kweli simba kama watapoteza itabidi wajilaumu wenyewe tu ila kiukweli simba waliwashika sana yanga na first half wamepoteza nafasi nyingi mno

huyu mtu wa pwani ni mwongo, mwongo mwongo kama viongozi wa CCM
 
Joseph owino kakosa akiwa ndani ya sita kipa akiwa kasha potea maboya...
 
Back
Top Bottom