Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Mtanange wa watani wa jadi Kati ya SIMBA na YANGA utakaopingwa Jmosi utaonyweshwa moja kwa moja (live) na kituo cha Startv kuanzia saa 10 jioni, timu zote zimejinasibu kuwa zimefanya maandalizi mazuri hivyo tutegemea mtanange wa kufurahisha kwani safari hii yanga wametokea Bagamoyo wakati Simba waliweka kambi yao pale Tabora na Mwanza simba kuna kila dalili za kumkosa salum Kanoni, Mohamed Simba Banka,Uhuru Seleman, Musa Hasan Mgosi, Hilary Echesa na kapteni wa wao Nicodemus Nyangawa walio majeruhi kwa upade wa watani wao yanga watamkosa Kenneth Asamoah raia wa Ghana ambae haja pata ITC
mwenye habari zaidi juu ya kinacho endelea atujuze maana mechi hizi huwa na vituko na vijambo
mwenye habari zaidi juu ya kinacho endelea atujuze maana mechi hizi huwa na vituko na vijambo