Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,500
Simba 1 na Moro 0 goli limefungwa dakika ya 16 na Mafisango
Azam FC 1 na Mtibwa 1 wafungaji Salum Swedi na Mrisho Ngasa
FT Simba 3 na Moro 0
FT Azam FC 1 Na Mtibwa 1
Simba Bingwa...................
Simba hajawa bingwa bado mkuu. Mechi ya azam imeisha kwa mtibwa kugomea penati, so azam automatically ana point tatu, simba wanahitaji point moja zaidi kujitangazia ubingwa. Anything can happen katika soka, waulize Barca wanajua soka ni nini