Simba vs Libolo -LIVE UPDATES

Status
Not open for further replies.
usirudie tena kuleta ushabiki uso kua na maana ukisikia mafanikio,ongelea mafanikio sio unaleta hbr za hayo makombe yako ya ajabu!hvi unajua ukiingiza timu atua ya makundi caf unakua unaingza kiasi gani?

Sio atua, sema HATUA kuku maji we.

Unaonekana umekuja mjini kwa shemeji yako mwaka jana hata habari nyingi hujazipata. Hatua za makundi kama ndio unaita kombe nimekwambia Yanga ndio wa kwanza kucheza Quarter Finals za CL japo fedha zetu tulidhulumiwa na CECAFA.

Kinachokusumbua wewe ni uSimba uliopitiliza kiasi unafikiri Yanga haiendagi kushiriki kama Simba Koko anavyoshiriki. Nikukumbushe tu kuwa ukiwa Bingwa wa Ligi basi unaenda kucheza CL na kwa minaajili hiyo Yanga amecheza mara nyingi kuliko Simba Koko kwani Yanga ndio mume hapa Tanzania, UMENIELEWA?
 
... Ndio maana nimesema wazee wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, na wewe unaendeleza yale yale.

Zungumzia basi 6-0 za Raja Casablanca !!! Au kama huko ni mbali sana, basi walau 5-0 za Simba! :becky::becky::becky:

Hata Simba koko alipigwa 5-0 na Haras El Hadood.

Na sidhani kama tulikuwa tunazungumzia matokeo ya mechi, mi nilisema kuchukua kombe nje ya ardhi yetu na kuja nalo hapa nyumbani.

Kama Afrika Mashariki sio issue msingekuwa mnapiga kelele kuwa nyie ndio mmchukua mara nyingi. Siku hizi mmenyamaza kwa maana mmeona Yanga ina potentials za kulichukua kila msimu kiasi sasa hamuwezi kujidai kwa maana mmeonekana ni wamama wa nyumbani mnaopenda kulichukulia hapa, likitolewa nje ya hapa mnaishia round ya 2
 
mmeuza lini nyie mchezaji kwa bei gani na yuko wap?? Na hele yake iko wapi?

Anaumwa huyu nenda naye polepole, vinginevyo atakimbia.

Mchezaji kauzwa na Rage yeye anadhani kauzwa na Simba. Hapo unavyowaona wanadiwa maharage na chapati Zanzibar walivyoenda kugombea kombe la Maulid. Azam walivyowapiga bao ikala kwao kwani walitegemea wapate zile laki 4 za mshindi wa kwanza ndio walipe bili ya maharage sasa wamejificha dhiki mpaka kwenye kope.

Wanatafuna mpaka rambirambi.

Halafu alivyo hajui jinsia anasema Simba koko ni kaka zetu, hawa wafanyakazi wa ndani wa Wahindi ndio wakina kaka?! Hata hajui historia ya klabu yake
 
Mwaka 2005 tulikuja na kombe la Tusker kutoka Kenya baada ya kuwafunga Asante Kotoko, soma kwa makini jina la timu tuliyoifunga.
 
Last edited by a moderator:
Kwa wale wanao weza ona tv angola tpa mechi ipo live inataka kuanza nita wajuza yanayo jiri
 
dk 4 libolo wamepata kuna imezaa kona nyingine simba wameokoa
 
Tuwekea kikosi cha Simba kama utafanikiwa kukijua.
 
badala ya kutupa updates mijitu inakomaa kubishana yanga/simba bora
 
sunzu amepewe yelo card alikuwa anabishana na refa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…