Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,117
- 16,500
usirudie tena kuleta ushabiki uso kua na maana ukisikia mafanikio,ongelea mafanikio sio unaleta hbr za hayo makombe yako ya ajabu!hvi unajua ukiingiza timu atua ya makundi caf unakua unaingza kiasi gani?
Sio atua, sema HATUA kuku maji we.
Unaonekana umekuja mjini kwa shemeji yako mwaka jana hata habari nyingi hujazipata. Hatua za makundi kama ndio unaita kombe nimekwambia Yanga ndio wa kwanza kucheza Quarter Finals za CL japo fedha zetu tulidhulumiwa na CECAFA.
Kinachokusumbua wewe ni uSimba uliopitiliza kiasi unafikiri Yanga haiendagi kushiriki kama Simba Koko anavyoshiriki. Nikukumbushe tu kuwa ukiwa Bingwa wa Ligi basi unaenda kucheza CL na kwa minaajili hiyo Yanga amecheza mara nyingi kuliko Simba Koko kwani Yanga ndio mume hapa Tanzania, UMENIELEWA?