Simba v/s Azam ngao ya hisani

Simba v/s Azam ngao ya hisani

Fidel80

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2008
Posts
21,945
Reaction score
4,499
Timu bado zipo vyumbani
muda wowote mtanange utaanza
Kila la kheri watani zetu
 
Huyu Kaseja kila mechi anadaka yeye anatumia kizizi nini?
 
Sikiza FM 89.0 studio..wanauleta mchezo huo masikioni mwa wananchi
 
Heeh dakika ya 2 tyr kitu?? leo nyingi eeh
 
Azam wanashambulia kama nyuki hapa lango la simba wanakosa bao lingine, Himid Mao anaonyweshwa kadi ya njano kwa mchezea rafu Okwi hapa
 
Simba bado imekuwa na wakati mgumu kwenye uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Leo katika mechi yake ya Ngao ya Hisani ikiwa ni mechi maalum ya ufunguzi wa michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara, inayocheza na Azam FC imeendelea kutoa matumaini finyu kwa mashabiki wake.
Ikiwa ni dakika ya pili tu, washaruhusu goli la kwanza na kukoswa koswa goli la pili katika dakika ya sita. Kwa ninavyoona Simba wamekuwa na tatizo kubwa katika safu ya ulinzi. Mabeki hawana umakini na wanashindwa kujipanga vizuri kucheza mipira ya kona. Acha tuendelee kufuatilia mchezo huu.
 
dakika ya 10 naona simba sasa wametulia wanapeleka mashambulizi katika goli la Azam
 
endelea kutu habarisha kiongozi!!!hasa kila simba akipigwa bao!!!
 
Kwa hali ilivyo Simba wakifungwa mechi ya leo itasababisha vurugu kubwa ndani ya Simba. Wamekoswa koswa jingine sasa hivi, ni dakika ya kumi na sita. Kaseja alikuwa ashaenda marikiti.
 
kaka endelea kutupaa habari.... na ni kwanini hata chanel moja ya kibongo haioneshi
 
simba taifa kubwa so tuna imani tutalamba juice za azam
 
...Duh sasa thread mia mia za nn, si mchngie ktk zile zilizopo ?? Yaani dk 10 za mwanzo kelele hivi je ikifika dk y 70 kutakuwa na threads ngapi ??
 
...Duh sasa thread mia mia za nn, si mchngie ktk zile zilizopo ?? Yaani dk 10 za mwanzo kelele hivi je ikifika dk y 70 kutakuwa na threads ngapi ??

Hahahaahaaaaaa...... Jamaa ana hasira!
Bocco kawakosa kosa tena, alikuwa yeye na Kaseja. Alipigiwa pasi ndefu na Kipre Tchetche!
 
Naona watani zangu kifuli zinapwita tu
 
Back
Top Bottom