Simba v Ruvu Shooting - May 05, 2013

Simba v Ruvu Shooting - May 05, 2013

Ha ha ha haaa, A/c za nini kaka wakati vitendo vinaongea? Kwanza ndio club pekee zinazomiliki viwanja japo nanyi mnacho kile cha kuazima pale Kinesi, pili tunauwezo wa kusajiri au kuzuia usajiri wa mchezaji yoyote tumtakaye rejea usajiri wa Twite na Ngassa mpaka maharage yenu yakamwaga machozi. Chezea Yanga wewe?

Figure ndo zinatakiwa, kwa sababu swala la usajili hela zinaweza toka account nyingine the same to swala la kiwanja, nataka account za club, weka hapa tuone kama hazijasoma sifuri kote Yanga pamoja na Azam, bora yetu inaweza kusoma salio zuri labda hela ya Okwi imeshaingia.
 
Figure ndo zinatakiwa, kwa sababu swala la usajili hela zinaweza toka account nyingine the same to swala la kiwanja, nataka account za club, weka hapa tuone kama hazijasoma sifuri kote Yanga pamoja na Azam, bora yetu inaweza kusoma salio zuri labda hela ya Okwi imeshaingia.

Figure ni siri Mkuu.
 
Ha ha ha haa, mnafurahia kushuka kwa Toto eti inawakamia wakati uwezo wenu mdogo na leo hamtoki. Mkuu Masuke issue ya Okwi mbona mmepigiwa cheusi na chekundu pale? Msomali hana uzoefu wa mikataba na hashauliki atalia kila siku.
 
Ruvu wameimarika kipindi hiki. Huenda wakaharibu nafasi ya 3 kwa Mnyama.
 
Figure ni siri Mkuu.

Mkuu ni siri kwa sababu hamna kitu, kungekuwa na kitu mbona kila kitu kingekuwa wazi, mbona wenzetu wa ulaya figure zao zinajulikana na unaweza kujua club gani inaongoza kwa ukwasi kiasi, lakini huku kwetu tunafanikiwa kujua pointi na magoli tu na msimamo wa ligi na yenyewe ni kwa sababu inachezwa sehemu ya wazi, maadamu ingekuwa inachezwa ndani sehemu ambayo sio ya wazi mpaka sa hivi tungekuwa tunaulizana timu gani inaongoza.

Vipi hatujaongeza la pili tu?
 
Ndetichia unanisingizia mkuu mbona post zilizopandana ni za Msuke na Makoye Matale mi nimeingiaje hapo?

Hahahaha, gunia la misumari hilo, yeye mwenyewe kaiba anataka akupe wewe kubeba.
 
Mkuu ni siri kwa sababu hamna kitu, kungekuwa na kitu mbona kila kitu kingekuwa wazi, mbona wenzetu wa ulaya figure zao zinajulikana na unaweza kujua club gani inaongoza kwa ukwasi kiasi, lakini huku kwetu tunafanikiwa kujua pointi na magoli tu na msimamo wa ligi na yenyewe ni kwa sababu inachezwa sehemu ya wazi, maadamu ingekuwa inachezwa ndani sehemu ambayo sio ya wazi mpaka sa hivi tungekuwa tunaulizana timu gani inaongoza.

Vipi hatujaongeza la pili tu?

kweli kabisa mkuu..
 
Mkuu ni siri kwa sababu hamna kitu, kungekuwa na kitu mbona kila kitu kingekuwa wazi, mbona wenzetu wa ulaya figure zao zinajulikana na unaweza kujua club gani inaongoza kwa ukwasi kiasi, lakini huku kwetu tunafanikiwa kujua pointi na magoli tu na msimamo wa ligi na yenyewe ni kwa sababu inachezwa sehemu ya wazi, maadamu ingekuwa inachezwa ndani sehemu ambayo sio ya wazi mpaka sa hivi tungekuwa tunaulizana timu gani inaongoza.

Vipi hatujaongeza la pili tu?

Bado Simba 1-1 Ruvu Shooting.
 
Back
Top Bottom