Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 7,053
- 13,711
LAZIMA TUWAKUMBUSHE
Kuwa wakati mnatamba Rais wa Yanga Just kupiga picha tu , Mkumbuke Simba iliwahi kuombwa elewa neno Kuombwa wacheze mchezo wa Kirafiki dhidi ya Sevilla na mchezo ulichezwa
Kumbuka Simba hawakupaswa kucheza mchezo huu kwa kuwa hawakuwa mabingwa wa kombe la Sportpesa lilokuwa linafanyika miaka ya hivi karibuni , lakini kwa kuwa aliyechukua Ubingwa alikuwa hana kiwango bora Sevilla wakasema wao wanahitaji kucheza na Simba SC
Imagine unacheza na team kama Sevila na unaifunga bao nne , halafu kuna mtu anasema Rais wa Yanga kupiga picha na Wachezaji wa PSG ambao hata Ommy Dimpoz alipiga picha na wachezaji wa Man u
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi kipindi hicho Mo Dewj alimkabidhi Rais w FIFA Infatino jezi ya Simba kwa mara ya kwanza jezi ya Team toka Tanzania ilishikwa na rais wa FIFA.
Simba ndiyo Club ya Kwanza kuletea watu wa mpira Tanzania African Super League alikuja Rais wa FIFA, akaja Arsene Wenger n.k
Simba SC ndiyo Club ya kwanza Kupostiwa kwenye page ya FIFA WORLD CUP na sasa ndiyo Club ya kwanza itakayoshiriki mashindano ya World Cup ngazi ya vilabu.
Haya tunayaongea ili muone ni mambo ya kawaida sana ,lakini kuna watu wataumia ila kwa kuwa ndiyo kwanza kwenu mnatakiwa kufurahia ikiwezekana na mabango tena yawekwe!!
Bata wa Head
Kuwa wakati mnatamba Rais wa Yanga Just kupiga picha tu , Mkumbuke Simba iliwahi kuombwa elewa neno Kuombwa wacheze mchezo wa Kirafiki dhidi ya Sevilla na mchezo ulichezwa
Kumbuka Simba hawakupaswa kucheza mchezo huu kwa kuwa hawakuwa mabingwa wa kombe la Sportpesa lilokuwa linafanyika miaka ya hivi karibuni , lakini kwa kuwa aliyechukua Ubingwa alikuwa hana kiwango bora Sevilla wakasema wao wanahitaji kucheza na Simba SC
Imagine unacheza na team kama Sevila na unaifunga bao nne , halafu kuna mtu anasema Rais wa Yanga kupiga picha na Wachezaji wa PSG ambao hata Ommy Dimpoz alipiga picha na wachezaji wa Man u
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi kipindi hicho Mo Dewj alimkabidhi Rais w FIFA Infatino jezi ya Simba kwa mara ya kwanza jezi ya Team toka Tanzania ilishikwa na rais wa FIFA.
Simba ndiyo Club ya Kwanza kuletea watu wa mpira Tanzania African Super League alikuja Rais wa FIFA, akaja Arsene Wenger n.k
Simba SC ndiyo Club ya kwanza Kupostiwa kwenye page ya FIFA WORLD CUP na sasa ndiyo Club ya kwanza itakayoshiriki mashindano ya World Cup ngazi ya vilabu.
Haya tunayaongea ili muone ni mambo ya kawaida sana ,lakini kuna watu wataumia ila kwa kuwa ndiyo kwanza kwenu mnatakiwa kufurahia ikiwezekana na mabango tena yawekwe!!
Bata wa Head