Hayo si hayatuhusu si tunachojua
Objective football imemponza robatinyo.... katupa fedhea kubwa sanaMlisema kmc na jkt ni vibonde haya sasa. Mseme na leo
Kosa la kocha Robertinho kumuweka manula alafu anajua manula amekaa nje muda mrefu sana hajacheza so hayuko fit
Shauri yenuHii ya Leo hamsa sio poa kbsa
BADO HAMJASEMA. KENGE NYIE....!Dah unajua hii simba kuna tatizo haiwezekani sisi tutkapigwa kama ngoma na wajinga jinga huu upuuzi kabisa inaumaaaa sana ahhaaaa hapana
Bado hamjasema...Hayo si hayatuhusu si tunachojua
Simba 1- 5 yanga
Usijipooze kwa yaliyopita
Manula mnamuonea jamani. Hii mechi ya leo hata angekuwa Bethez angegongwa hizo hizo 5. Ona kasi ya YANGA mwanzo mwisho.Ila maoni yangu ni kumchezesha Manula mechi hii muhimu kwa mara ya kwanza tokea apone ni kosa kubwa.
Pili, Kapombe hana nafasi mbele ya Mwenda. Kocha lazima afanye hayo mabadiliko ni muhimu sana.
Bado kuna changamoto ya kipa na kiungo mshambuliaji badala ya kumtegemea Saidoo tu.
Leo mechi ameshinda kocha bora na timu bora hapo ushabiki pembeni.
The fact that Simba hajamaliza mechi na clean sheet was a big concern to me. Sikutegemea muujiza maana kama Simba wana concede kila mechi, ina maana walitakiwa washinde kwa magoli mengi.
Something I didn’t think was going to happen.
Mpira ni mchezo wa kisaikolojia zaidi. Tizama mechi ya leo Liverpool wamekosa magoli mengi dhidi ya Luton na karibia wapoteze mechi.Manula mnamuonea jamani. Hii mechi ya leo hata angekuwa Bethez angegongwa hizo hizo 5. Ona kasi ya YANGA mwanzo mwisho.
Te teh teh Ayub anachekea chooniBora yule kipa mzungu ajachezeshwa maana angelaumiwa San kijana wa watu![]()