Simba tujitathimini huu ni udhalilishaji uliokidhiri...

Simba tujitathimini huu ni udhalilishaji uliokidhiri...

Wala msitafute mchawi....
Hesabu rahisi tu; Simba imeruhusu mabao ya kufungwa kila mechi iliyocheza, hii inamaana kuwa beki yake sio bora kama wanavyo aminishwa. Washukuru Mungu walikutana na Al hilal na sio Yanga.
Nafikiri pia Yanga wana mwalimu wa mazoezi mzuri sana japo hatajwi; wachezaji wake wanacheza dkk 90 kwa kasi ile ile
 
Ila maoni yangu ni kumchezesha Manula mechi hii muhimu kwa mara ya kwanza tokea apone ni kosa kubwa.

Pili, Kapombe hana nafasi mbele ya Mwenda. Kocha lazima afanye hayo mabadiliko ni muhimu sana.

Bado kuna changamoto ya kipa na kiungo mshambuliaji badala ya kumtegemea Saidoo tu.

Leo mechi ameshinda kocha bora na timu bora hapo ushabiki pembeni.

The fact that Simba hajamaliza mechi na clean sheet was a big concern to me. Sikutegemea muujiza maana kama Simba wana concede kila mechi, ina maana walitakiwa washinde kwa magoli mengi.

Something I didn’t think was going to happen.
 
Ila maoni yangu ni kumchezesha Manula mechi hii muhimu kwa mara ya kwanza tokea apone ni kosa kubwa.

Pili, Kapombe hana nafasi mbele ya Mwenda. Kocha lazima afanye hayo mabadiliko ni muhimu sana.

Bado kuna changamoto ya kipa na kiungo mshambuliaji badala ya kumtegemea Saidoo tu.

Leo mechi ameshinda kocha bora na timu bora hapo ushabiki pembeni.

The fact that Simba hajamaliza mechi na clean sheet was a big concern to me. Sikutegemea muujiza maana kama Simba wana concede kila mechi, ina maana walitakiwa washinde kwa magoli mengi.

Something I didn’t think was going to happen.
✌️
 
Pale timu haipo, uzuri ni kwamba mpira Wala hauhitaji maneno mengi sijui "hey listen, we play....(Mbrazil voice)...Simba imetoka nje ya misingi ambayo imezoeleka, timu yoyote kubwa inayoacha misingi yake lazima iumbuke, timu kama R.madrid, Liverpool, b.munich siyo wajinga kusimama kwenye misingi ya timu, zipo timu kubwa duniani zimegoma kuhamisha misingi ya timu zimeona bora ziharibu huku zikijitafuta kwanza.
 
Back
Top Bottom