Mstahiki Mea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 5,581
- 10,110
Ni michezo kadhaa ya derby imepita tangu Simba ipate ushindi mbele ya Yanga. Baada ya hapo tumekuwa tukipokea vipigo mfululizo, ushauri wangu tujue wazi kupata pointi 3 mbele ya Yanga kwa sasa ni jambo ambalo haliwezekani ili tusije kuanza kulaumu wachezaji baada ya mechi. Walau pointi moja kwenye huo mchezo ndiyo halali yetu, napo tunatakiwa kujipanga vizuri. Yanga wapo katika maandalizi mazito na hakuna asiyejua uimara wa kikosi chao.
Ukweli mchungu, kwa mara nyingine tunapoteza ubingwa, msimu ujao watu wanaohusika na usajili wajitafakari, hizi habari za kusajili wachezaji 10 afu kati yao mmoja ndiyo afadhali hatutaki, Simba tumeshindwa kupata mtu makini kwenye usajili kama Hanspope?
Ukweli mchungu, kwa mara nyingine tunapoteza ubingwa, msimu ujao watu wanaohusika na usajili wajitafakari, hizi habari za kusajili wachezaji 10 afu kati yao mmoja ndiyo afadhali hatutaki, Simba tumeshindwa kupata mtu makini kwenye usajili kama Hanspope?