Kwa kiwango cha uchezaji cha kiuongo mahiri Said Ndemla hastahili kufanyiwa haya anayofanyiwa. Kumuweka benchi kijana huyu kwa miaka mitatu (03) haiko sawa na kuto mtendea haki.
Inanawezekana yeye ameridhika na malipo anayopata Simba, ila atambue kuwa mpira ni kazi inayodumu kwa miaka michahche sana, ukiwa na bahati ni miaka 12 tu.
Kijana huyu nitaendelea kumbuka sana. Kwa wasiojua huyu ndio aliyeiokoa Simba na ile aibu, pale ambapo Yanga walikuwa wanaongoza Magoli matatu kipindi cha Kwanza! Kipindi cha pili Kibadeni alimuuingiza kinda huyu na akaenda kulisambaratisha eneo la kiungo la Yanga na tukawasawazisha.
Ndemla unaipenda sana Simba lakini hustahili kukaa mbenchi
ONDOKA KATAFUTE MAISHA KWINGINE!
Inanawezekana yeye ameridhika na malipo anayopata Simba, ila atambue kuwa mpira ni kazi inayodumu kwa miaka michahche sana, ukiwa na bahati ni miaka 12 tu.
Kijana huyu nitaendelea kumbuka sana. Kwa wasiojua huyu ndio aliyeiokoa Simba na ile aibu, pale ambapo Yanga walikuwa wanaongoza Magoli matatu kipindi cha Kwanza! Kipindi cha pili Kibadeni alimuuingiza kinda huyu na akaenda kulisambaratisha eneo la kiungo la Yanga na tukawasawazisha.
Ndemla unaipenda sana Simba lakini hustahili kukaa mbenchi
ONDOKA KATAFUTE MAISHA KWINGINE!