PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,211
- 4,169
Mleta na kuungamkono kwa kutumia Uhuru wa kutoa mawazo ni wakila mtu ila inategemea na mawazo gani unayoyatoa. Mawazo mengine yanahitaji utaalam na sio mihemko au unazi kwa mlengwa unaempigia chapuo.
Kitaalam
Kila mchezaji hapangwi kwenye mechi kama haonyeshi juhudi kwenye mazoezi ndugu.
Huwezi bweteka alafu ukategemea upate upendeleo uwanjani. Wote nilazima tujue makocha ndio watu wanao kaa na wachezaji kwa muda mrefu na kuona jiudi zao katika program zao za mazoezi.
Haiwezekani kocha akakupanga au akakupa kipaumbele kwenye list yake kama hujitumi na kujitambua kama unawajibu wa kuipigania namba nakuipa timu Matokeo.
Wote ni mashahidi wakati mwalim ven ameanza kazi jukum LA kwanza ilikua kuwapa wachezaji nafasi ili kila mmoja aonyeshe uwezo wake uwanjani. Lakini kidogo kocha huyu afurushwe kotokana na baadhi ya wachezaji kutokuonyesha kujituma uwanjani.
Sasa huyu ndemla mnae mpigia tarumbeta je! Hakupewa nafasi? Nakama alipewa nafasi ni result gani alileta kwa timu?
Tuache kujidai sisi ni wajuaji kuliko coach. Mpira sio kamari mpira ni taaluma na ndio maana yupo ven na matola pale simba. Angalia sasa hivi coach walivyopata kikosi chao na kinavyotupa raha Sana wana simba. Angalia Kandanda murua linavyotandazwa na maquison ni habari nyingine.
Aishi Manila
Shomari kapombe
Paschal wawa
Erasto nyoni
Mohammed Hussein
Jonas mkude a.k.a Nungu Mungu
Fransice kahata
Cloutus chotta chama
Jose Luise maquisson
Medie kagere
John boko
Hapa hata haje nani mziki juu ndio mambo kwa sasa wa kocha ven na matola na Matokeo tunayaona jani. Hawa ndio wanaojitambua na kujituma uwanjani. Anaetaka kuingia hapo basi ni.lazima jasho limtoke kuwanyanganya namba hawa askari wetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitaalam
Kila mchezaji hapangwi kwenye mechi kama haonyeshi juhudi kwenye mazoezi ndugu.
Huwezi bweteka alafu ukategemea upate upendeleo uwanjani. Wote nilazima tujue makocha ndio watu wanao kaa na wachezaji kwa muda mrefu na kuona jiudi zao katika program zao za mazoezi.
Haiwezekani kocha akakupanga au akakupa kipaumbele kwenye list yake kama hujitumi na kujitambua kama unawajibu wa kuipigania namba nakuipa timu Matokeo.
Wote ni mashahidi wakati mwalim ven ameanza kazi jukum LA kwanza ilikua kuwapa wachezaji nafasi ili kila mmoja aonyeshe uwezo wake uwanjani. Lakini kidogo kocha huyu afurushwe kotokana na baadhi ya wachezaji kutokuonyesha kujituma uwanjani.
Sasa huyu ndemla mnae mpigia tarumbeta je! Hakupewa nafasi? Nakama alipewa nafasi ni result gani alileta kwa timu?
Tuache kujidai sisi ni wajuaji kuliko coach. Mpira sio kamari mpira ni taaluma na ndio maana yupo ven na matola pale simba. Angalia sasa hivi coach walivyopata kikosi chao na kinavyotupa raha Sana wana simba. Angalia Kandanda murua linavyotandazwa na maquison ni habari nyingine.
Aishi Manila
Shomari kapombe
Paschal wawa
Erasto nyoni
Mohammed Hussein
Jonas mkude a.k.a Nungu Mungu
Fransice kahata
Cloutus chotta chama
Jose Luise maquisson
Medie kagere
John boko
Hapa hata haje nani mziki juu ndio mambo kwa sasa wa kocha ven na matola na Matokeo tunayaona jani. Hawa ndio wanaojitambua na kujituma uwanjani. Anaetaka kuingia hapo basi ni.lazima jasho limtoke kuwanyanganya namba hawa askari wetu.
Sent using Jamii Forums mobile app