UongozSasa wanafanya overhaul basi hapo yanga bingwa tena msimu ujao
Hao hawapendwi na kochaHapana, hapo Phiri, Sakho, Jimmy, waendelee kusalia.
Mlitakiwa baki na mgunda kama head coach ila wabongo tulivyo na roho mbaya tunangangania ngozi nyeupeUongoz
Waanze na robartino aondoke
Mafanikio yapi ya Yanga ambayo Simba SC hakuyafikia? Hiyo paragraph ya mwisho atakuja kujibu mpiga vichwa kwangu imenishinda.Wakati hao viongozi wakitangaza kuanza kwa hayo maboresho ya kikosi chao kilichokosa hata medali ya kombe la mapinduzi msimu huu, mashabiki wao hata hawajali eti!!
Badala yake wengi wako busy kuponda mafanikio ya Yanga! Kweli aliyewaita mbumbumbu mashabiki wa aina hii, hakukosea.
Msikilize mtangazaji.Mafanikio yapi ya Yanga ambayo Simba SC hakuyafikia? Hiyo paragraph ya mwisho atakuja kujibu mpiga vichwa kwangu imenishinda.
Kinachofanyika ikulu kilipaswa kuzuia mengine yasiendelee?Wangesuburia ligi iishe watimue nusu ya kikosi. Afu July waanze usajili.
Kinachofanyika leo ni kama kutaka zuia kitachofanyika Ikulu
team kubha..💪Klabu ya Simba leo Juni 5, 2023, kuanzia saa 4:00 Asubuhi wanaanza kutangaza maboresho ya kikosi chao kuelekea msimu mpya 2023/2024.
Kwenye kuoffload msipokuwa makini mnatoa boko, Okrah,Phiri sio wa kuachwa hasa Okrah,mkimuacha natamani Nabi amuone.Ni kweli lakini hana wakati nzuri Simba SC, nakuhakikishia kuwa anaondoka.
Hii kauli hata Yanga wanayo sana, walisema kuwa kila Yanga ikikaribia game kubwa Feisal anahujumu kuhusu sakata lake.Kinachofanyika ikulu kilipaswa kuzuia mengine yasiendelee?
Ni ujinga wa watanzania walio wengi, kwa style hii ingetokea wamechukua kombe nadhani wangeomba serikali isitishe huduma zote.Hii kauli hata Yanga wanayo sana, walisema kuwa kila Yanga ikikaribia game kubwa Feisal anahujumu kuhusu sakata lake.
Inashangaza sana, yaani kukiwa na jambo fulani, jambo lingine lisifanyike.
Hii ni mistake ndugu zangu.Okrah ameachwa rasmi kwenye kikosi cha Simba SC baada ya kumalizika kwa mkataba wake.
Hiki ni kikosi kizima wakibadili,
Lasivyo wanaenda kule walipotoka msinu ulopita
Onyango
Nyoni
Kapama
Okrah
Gadiel
Jimson
Sawadogo
Boko
Kennedy
Sako
Mosses
Banda
Vizur vina garama wakunali garamaSasa hela yote si itaishia kwenye kuvunja mikataba, kufanya replace ya wachezaji wote hao sio chini ya b 1.5 inahitajika bado hujawalipa mishahara
Mbadala wa Okra sasa utasikia ni winga hatari wa Lyon sport ya Rwanda. Yaleyale ya Sibomana. Alafu eti mnaitaka finali ya caf thubutuuKlabu ya Simba leo Juni 5, 2023, kuanzia saa 4:00 Asubuhi wanaanza kutangaza maboresho ya kikosi chao kuelekea msimu mpya 2023/2024.
Update:
"Baada ya kuwa kwenye kikosi chetu kwa msimu mmoja Augustine Okrah hatakuwa sehemu ya timu yetu msimu ujao". Taarifa kutoka Simba SC.
Maboresho ni given haitaji kutangaza kuwa unafanya maboresho kinachoitajika ni taarifa mwendelezo wa hayo maboresho, mfano Yanga wameshamalizana na wachezaji wakubwa wawili imebaki mambo machache sana lakini wala hatusemiUlazima wa kutangaza upo, utajuaje kama si kuanza kutangaza maboresho ya Kikosi.