Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,485
- 8,667
Kufuatia mechi kadhaa za mfululizo za ligi kuu ya Tanzania bara kumlazimisha kocha Patrick kufanya rotation kwa wachezaji nimegundua simba tuna wachezaji wengi wazuri
Mo ibrahim bado yuko vizuri sana
Nicolas gyan Wonderful performance
Haruna hakuna kama yeye
Ndemla kiungo wa ajabu kabisa
Muzamir utasema nini kihusu yeye ana jicho la kuona
Asante kwasi utulivu wa hali ya juu
Bukaba na Juko wanatakiwa waongeze umakini na kujiamini
Salamba ameshindwa kufanya jambo anapoaminiwa nahisi atatolewa kwa mkopo
Zana labda abakie kama winga na sio beki huyu aindoke kutoa nafasi kwa beki bora mwingine
Dida aende tu
Mo ibrahim bado yuko vizuri sana
Nicolas gyan Wonderful performance
Haruna hakuna kama yeye
Ndemla kiungo wa ajabu kabisa
Muzamir utasema nini kihusu yeye ana jicho la kuona
Asante kwasi utulivu wa hali ya juu
Bukaba na Juko wanatakiwa waongeze umakini na kujiamini
Salamba ameshindwa kufanya jambo anapoaminiwa nahisi atatolewa kwa mkopo
Zana labda abakie kama winga na sio beki huyu aindoke kutoa nafasi kwa beki bora mwingine
Dida aende tu