Simba SC, mnacho cha kujifunza kwa KVZ FC

Imekosa magoli matatu at the same time uanataka tuchukue ushauri wake?

Unaiona imecheza vizuri kwasababu imekutana na mpinzani wa standard yake. Mbinu za kumkabili Gongowazi huwezi ku apply kwa Wydad utachekwa

Ebu tufikirie hili kidogo.....unaishaurije Simba ambayo ni ya 7 Africa kuwa ichukue ushauri kutoka timu ambayo hata CAF hawaijui?

Hivi watani zetu Al Ahly watajiskiaje? Imagine that

Mi nadhani huu ushauri ungepaswa kuwafaa wale wenzao waliotoa nao sare wakautumie kujirekebisha kwa wenzao huko kwenye hatua zinazofuata ili wafike robo
Mkuu hoja yako ingekua na mashiko kama ungetumia mfano wa mechi ambayo simba amecheza na yanga hapa karibuni sio mechi na wydad.
 
Imekosa magoli matatu at the same time uanataka tuchukue ushauri wake?

Unaiona imecheza vizuri kwasababu imekutana na mpinzani wa standard yake. Mbinu za kumkabili Gongowazi huwezi ku apply kwa Wydad utachekwa

Ebu tufikirie hili kidogo.....unaishaurije Simba ambayo ni ya 7 Africa kuwa ichukue ushauri kutoka timu ambayo hata CAF hawaijui?

Hivi watani zetu Al Ahly watajiskiaje? Imagine that

Mi nadhani huu ushauri ungepaswa kuwafaa wale wenzao waliotoa nao sare wakautumie kujirekebisha kwa wenzao huko kwenye hatua zinazofuata ili wafike robo
Mkuu wewe hujui mpira,Umekaa kishabiki tu

Badala ya kuchambua mpira wewe unaongea maneno ya kwenye kanga kama mwanamke wakati ni dume lenye ndevu

Hili jukwaa halikuanzishwa kwa ajili ya kupiga taarabu ,kuna majukwa ya umbea na taarabu

Huna unalowaza zaidi ya simba ,Ukiambiwa simba wachezaji wazee na wametumika sana ,Majibu yako ni Yanga Yanga Yanga

Kila swali la uchambuzi huna majibu zaidi ya kujibu Simba simba simba
 
Hivi kama unafikiri ni jambo la kawaida kwanini kila muda mnasema goli 5?

Kwanini baada ya kunifunga hizo goli 5 uliweka mabango mji mzima?

Hayo yote hayawezi kufanyika ikiwa kama ni desturi yako kupata ushindi huo kwa timu hiyo.

Hayo yote hayawezekani kufanywa na timu kubwa baada ya kuifunga timu ndogo.

Ili hayo yote yawezekane na ku sound kuwa ni logical inatakiwa hadhi ya Club yako iwe ni ndogo na unafanya hivyo kama historia kuwa unasheherekea bahati yako kwa kupata ushindi mkubwa dhidi ya timu kubwa iliyokuzidi.

Tumekufunga mara ngap ?

Na hata sasa ukileta timu tunakufunga
 
Hili kombe halina maana yoyote Hata kina lomalisa wamekuwa waangalifu kuumia .
Unaweza kupoteza wachezaji muhimu eti unagombania kombe la mapinduzi , ni siasa Tupu .
Bora yanga warudi Daressalaam hakuna maana yoyote kushindania kombe lisilojulikana nje ya visiwani zanzibar .
Angalia okra amengia na kuumia akishindania kombe la mapinduzi !

Maana ipo
 
Mkuu wewe hujui mpira,Umekaa kishabiki tu

Badala ya kuchambua mpira wewe unaongea maneno ya kwenye kanga kama mwanamke wakati ni dume lenye ndevu

Hili jukwaa halikuanzishwa kwa ajili ya kupiga taarabu ,kuna majukwa ya umbea na taarabu

Huna unalowaza zaidi ya simba ,Ukiambiwa simba wachezaji wazee na wametumika sana ,Majibu yako ni Yanga Yanga Yanga

Kila swali la uchambuzi huna majibu zaidi ya kujibu Simba simba simba
Kwani hapo nimechambua nyanya?

Au kwasababu kila uchambuzi ambao ni negative kwa upande wako hauwezi kuwa treated kama uchambuzi?
 
Tumekufunga mara ngap ?

Na hata sasa ukileta timu tunakufunga
Umenifunga katika nyakati gani?

Kipindi ambacho wewe ulikuwa wewe ulikuwa unatumiwa na dola kwenye mambo ya kisiasa kwasababu ni Club ya chama?
 
Umenifunga katika nyakati gani?

Kipindi ambacho wewe ulikuwa wewe ulikuwa unatumiwa na dola kwenye mambo ya kisiasa kwasababu ni Club ya chama?
Unajichosha tu, huyo leo Yanga kesho yupo Simba. Fatilia nyuzi zake vizuri. Ni moja ya mtu anayeongoza kwa kutokuwa na msimamo. Leo atakuja na uzi wa kujifanya ni Simba huku akisifu Simba imekuwa imara, kesho atakuja na uzi simba bado ina cha kujifunza.
 
Haya ni matusi yan leo Simba waljifunze kwa kvz?
Hawa madogo wanatafuta ugal wa kesho so wanakaza ili kutafuta sajili ila huwez sema wanahvyo viwango.

Mbona hapa bara tunaona Namungo anamkazia sana yanga au simba ila akicheza na mtibwa anapigwa kupigo cha mbwa kokooo.
Yafaa ujue mpira zaid
 
Unajichosha tu, huyo leo Yanga kesho yupo Simba. Fatilia nyuzi zake vizuri. Ni moja ya mtu anayeongoza kwa kutokuwa na msimamo. Leo atakuja na uzi wa kujifanya ni Simba huku akisifu Simba imekuwa imara, kesho atakuja na uzi simba bado ina cha kujifunza.

Ndio nini ?
 
Haya ni matusi yan leo Simba waljifunze kwa kvz?
Hawa madogo wanatafuta ugal wa kesho so wanakaza ili kutafuta sajili ila huwez sema wanahvyo viwango.

Mbona hapa bara tunaona Namungo anamkazia sana yanga au simba ila akicheza na mtibwa anapigwa kupigo cha mbwa kokooo.
Yafaa ujue mpira zaid

Simba mngecheza kama wale jamaa mngefika mbali
 
Imekosa magoli matatu at the same time uanataka tuchukue ushauri wake?

Unaiona imecheza vizuri kwasababu imekutana na mpinzani wa standard yake. Mbinu za kumkabili Gongowazi huwezi ku apply kwa Wydad utachekwa

Ebu tufikirie hili kidogo.....unaishaurije Simba ambayo ni ya 7 Africa kuwa ichukue ushauri kutoka timu ambayo hata CAF hawaijui?

Hivi watani zetu Al Ahly watajiskiaje? Imagine that

Mi nadhani huu ushauri ungepaswa kuwafaa wale wenzao waliotoa nao sare wakautumie kujirekebisha kwa wenzao huko kwenye hatua zinazofuata ili wafike robo
Umeanza vizuri ila paragraph ya mwisho umeharibu.
 
Imekosa magoli matatu at the same time uanataka tuchukue ushauri wake?

Unaiona imecheza vizuri kwasababu imekutana na mpinzani wa standard yake. Mbinu za kumkabili Gongowazi huwezi ku apply kwa Wydad utachekwa

Ebu tufikirie hili kidogo.....unaishaurije Simba ambayo ni ya 7 Africa kuwa ichukue ushauri kutoka timu ambayo hata CAF hawaijui?

Hivi watani zetu Al Ahly watajiskiaje? Imagine that

Mi nadhani huu ushauri ungepaswa kuwafaa wale wenzao waliotoa nao sare wakautumie kujirekebisha kwa wenzao huko kwenye hatua zinazofuata ili wafike robo
Hakuna nyongeza ..
 
Hawa vijana wanahitaji UONGOZI bora na SUPPORT ikiwemo financial .

Kama kuna TAJIRI anahitaji kuwekeza kwenye mpira , KVZ ni sehemu sahihi.

Laiti SSC ikingekuwa inacheza kwa spirit ya hawa wachezaji wa KVZ ingekuwa ni balaa.

Walikosa utulivu wa kumalizia tu, otherwise YANGA ilikuwa afe sio goli chini ya 3.

SSC Inahitaji beki yenye ushirikiano na spirit kama KVZ, kuna haja hii mechi aione kocha wa SSC.

Umepigwa mpira kweli kweli yani ngingii ngi , kama wangekuwa na utulivu pale mbele……. Tungesema mengine.

Kwanza vijana hawakabii kwa macho, yaani ukiingia kwa Line yao tu, wana kublock, sio SSC wachezaji watamsindikiza mshambuliaji hadi eneo la hatari.

Kazi kukomaa chama chama, kumbe kuna vijana huko kwa Mama Kizimkazi ni balaa

Kuna haja ligi ya bara na unguja iwe ni ligi moja ili timu kama hizi ziwe supported.

Umepigwa mpira kweli kweli Leo , hamna kuzoeana

Salute to KVZ, mliushika mpira watoto wa Mama Kizimkazi
Natamanikuwaonawengi ligikuu baraa
Allbest
 
Back
Top Bottom