Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 2,256
- 4,099
Hawa vijana wanahitaji UONGOZI bora na SUPPORT ikiwemo financial .
Kama kuna TAJIRI anahitaji kuwekeza kwenye mpira , KVZ ni sehemu sahihi.
Laiti SSC ikingekuwa inacheza kwa spirit ya hawa wachezaji wa KVZ ingekuwa ni balaa.
Walikosa utulivu wa kumalizia tu, otherwise YANGA ilikuwa afe sio goli chini ya 3.
SSC Inahitaji beki yenye ushirikiano na spirit kama KVZ, kuna haja hii mechi aione kocha wa SSC.
Umepigwa mpira kweli kweli yani ngingii ngi , kama wangekuwa na utulivu pale mbele……. Tungesema mengine.
Kwanza vijana hawakabii kwa macho, yaani ukiingia kwa Line yao tu, wana kublock, sio SSC wachezaji watamsindikiza mshambuliaji hadi eneo la hatari.
Kazi kukomaa chama chama, kumbe kuna vijana huko kwa Mama Kizimkazi ni balaa
Kuna haja ligi ya bara na unguja iwe ni ligi moja ili timu kama hizi ziwe supported.
Umepigwa mpira kweli kweli Leo , hamna kuzoeana
Salute to KVZ, mliushika mpira watoto wa Mama Kizimkazi
Kama kuna TAJIRI anahitaji kuwekeza kwenye mpira , KVZ ni sehemu sahihi.
Laiti SSC ikingekuwa inacheza kwa spirit ya hawa wachezaji wa KVZ ingekuwa ni balaa.
Walikosa utulivu wa kumalizia tu, otherwise YANGA ilikuwa afe sio goli chini ya 3.
SSC Inahitaji beki yenye ushirikiano na spirit kama KVZ, kuna haja hii mechi aione kocha wa SSC.
Umepigwa mpira kweli kweli yani ngingii ngi , kama wangekuwa na utulivu pale mbele……. Tungesema mengine.
Kwanza vijana hawakabii kwa macho, yaani ukiingia kwa Line yao tu, wana kublock, sio SSC wachezaji watamsindikiza mshambuliaji hadi eneo la hatari.
Kazi kukomaa chama chama, kumbe kuna vijana huko kwa Mama Kizimkazi ni balaa
Kuna haja ligi ya bara na unguja iwe ni ligi moja ili timu kama hizi ziwe supported.
Umepigwa mpira kweli kweli Leo , hamna kuzoeana
Salute to KVZ, mliushika mpira watoto wa Mama Kizimkazi