Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 1,704
- 5,480
Save hii Simba 2 yanga 1Kwa Sasa Yanga wanaumoja na Yanga wakishakua hivyo itachukua muda sana Simba kupata matokeo. Msimu huu Simba waandike maumivu tu.
Sawa tusubiri hiyo siku, nitatoa tathimini yangu siku ya mechiMnyama mkali kuwahi kutokea dunian, Simba sc atakuwa dimbani kuchezea dhidi ya timu ndogo Yanga sc nusu fainali ya Azam federation cup jumamosi hii.
Ikumbukwe kuwa Simba sc wamekuwa wakiifumua vilivyo watani zao 🐸 katika mashindano haya.
Wamekutana mara mbili, huku mnyama huyo mkali akiibuka mshindi katika mechi zote mbili nakufunga jumla ya magoli matano huku mtani wake 🐸 akiambulia goli moja pekee.
Natabiri tena Simba sc kuendeleza dozi kali jumamosi hii dhidi ya timu ndogo Yanga sc.
View attachment 2236618
Sahau Simba kupata ushindi dhidi yaSave hii Simba 2 yanga 1
Umeshawahi kumfunga Simba kwenye mashindano haya?Sahau Simba kupata ushindi dhidi ya
Yanga si Kwa mechi iyo tu ya tarehe 28 ila Kwa kipindi kirefu kijacho.
Sawa, nimeshakukula kiboga mara mbili au umesahau🤩🤩Hyo mechi Simba amhatobui.. tena jumamosi nabeti mapema kabisa.. hyo mechi Simba lazima aliwe kiboga tena mpema tu
Simba mwenyewe sasa .......Mnyama mkali kuwahi kutokea dunian, Simba sc atakuwa dimbani kuchezea dhidi ya timu ndogo Yanga sc nusu fainali ya Azam federation cup jumamosi hii.
Ikumbukwe kuwa Simba sc wamekuwa wakiifumua vilivyo watani zao 🐸 katika mashindano haya.
Wamekutana mara mbili, huku mnyama huyo mkali akiibuka mshindi katika mechi zote mbili nakufunga jumla ya magoli matano huku mtani wake 🐸 akiambulia goli moja pekee.
Natabiri tena Simba sc kuendeleza dozi kali jumamosi hii dhidi ya timu ndogo Yanga sc.
View attachment 2236618
Utatueleza nini kilikufanya undhulumu geita mgegedo unawahusuKweli Mfa maji haachi kutapatapa. Timu imefungwa kwenye ngao ya jamii! Imevuliwa ubingwa wa Ligi kuu! Imetoa sare tasa mara 2! Itashindwa vipi kufungwa nusu fainali!
Mbaya zaidi Yanga iko kwenye uwanja wake wa nyumba wa Kirumba Mwanza! Ningekuwa shabiki wa JUJU FC, hiyo Jmosi ningejificha tu kutwa nzima ili kuficha aibu.
Nitarudi kwako jmos jioni.Kweli Mfa maji haachi kutapatapa. Timu imefungwa kwenye ngao ya jamii! Imevuliwa ubingwa wa Ligi kuu! Imetoa sare tasa mara 2! Itashindwa vipi kufungwa nusu fainali!
Mbaya zaidi Yanga iko kwenye uwanja wake wa nyumbani wa Kirumba Mwanza! Ningekuwa shabiki wa JUJU FC, hiyo Jmosi ningejificha tu kutwa nzima ili kuficha aibu.