Nilijipa Ban in advance. Si unajua hawa Moderator wapya wana akili kama wanavuta Bangi za Mkoa wa mkuu wa wilaya wa mkoa wa Maandazi RepublicHahahaah ulipewa ban??
Tuwekee hapaDownload live stream player ina Azam TV
Mlioko uwanjan,penati ilikuwa na uhalali?
Hapana. Lufunga ndio kafanya kosa