Pamoja na mauzauza yaliyotupata, Yanga ndiye Bingwa!Na msimamo wa ligi mpaka sasa uko hivi
Pole sana Mkuu.. Ila matokeo umeyapata?
Bingwa wa nafasi ya piliPamoja na mauzauza yaliyotupata, Yanga ndiye Bingwa!
Nimeyapata Mkuu. Huo ndio mchezo wa soka.Pole sana Mkuu.. Ila matokeo umeyapata?
Mkuu unatukana mamba wakati hujavuka mto, vuka kwanza kisha ndiyo uanze kutukana!Umenena vyema sana Mkuu.. Hakuna wa kutuzuia msimu huu.. labda wajaribu tena msimu ujao.
Hizi kauli nishazizoea.. Kama tangu mwaka jana, mlikua na hizi hizi porojo.. naamini zitaendelea hata baada ya mnyama kukabihiwa kombe lake.. Amini amini Simba SC ni bingwa wa VPL msimu wa 2016/2017.Mkuu unatukana mamba wakati hujavuka mto, vuka kwanza kisha ndiyo uanze kutukana!
Mkuu kumbuka kuwa uhalisia ni tofauti na matakwa yako.Hizi kauli nishazizoea.. Kama tangu mwaka jana, mlikua na hizi hizi porojo.. naamini zitaendelea hata baada ya mnyama kukabihiwa kombe lake.. Amini amini Simba SC ni bingwa wa VPL msimu wa 2016/2017.
Mkuu kumbuka kuwa uhalisia ni tofauti na matakwa yako.
Sina shaka yoyote kwa upande wako ungependa kuona mnyama anachukua kombe na kwa upande wangu ningependa kuona Young Africans SC ikichukua kombe la 3 mfululizo!
Kiuhalisia chochote chaweza kutokea, jiandae kisaikolojia ili ''mang'ana gasalike'' yatakapotokea usije kuchanganyikiwa. Mimi nimejiandaa vizuri kisaikolojia na niko tayari kupokea uhalisia utakaotokea.
Hakuna noma Mkuu, endapo mtaendeleza ubabe huo hadi mwisho, haitakuwa shida kwa mtu kama Makoye Matale kupotea hapa jukwaani kwa kisingizio cha kuwa katika eneo korofi!Haha.. Sawa Mkuu. Ila nakumbuka kipindi kile tunagawa dozi hovyo hovyo katika mzunguko wa kwanza mlikua mkisema hizi ni nguvu za soda.. Sasa tupo raundi ya 2 huku zimebaki mechi 7 ligi iishe mnyama akiwa kileleni.. bado mna wasi wasi nae?! sawa. Tukutane April.
Hakuna noma Mkuu, endapo mtaendeleza ubabe huo hadi mwisho, haitakuwa shida kwa mtu kama Makoye Matale kupotea hapa jukwaani kwa kisingizio cha kuwa katika eneo korofi!
Nimeota mmerudisha lile goli la ChuyaHakuna noma Mkuu, endapo mtaendeleza ubabe huo hadi mwisho, haitakuwa shida kwa mtu kama Makoye Matale kupotea hapa jukwaani kwa kisingizio cha kuwa katika eneo korofi!
.. Mkuu, angaliwa nawe usije ukafunguliwa kesi ya kuota kama ya yule jamaa wa Arusha.Nimeota mmerudisha lile goli la Chuya