Nimeona, na sio simba pekee, hadi Zamalek anaanza chekecheaKuwa mvumilivu madam.
Hii ni habari ya ndani kabisaaa.
Hadi Zamalek pia.
Kauli ya shabiki anayejitambua. Big up Sana Mkuu.Nimeona, na sio simba pekee, hadi Zamalek anaanza chekechea
Yaan team 6 tyuuh ndo zitaanzia 1St round.
Ahsanteeeeeee!!!!Kauli ya shabiki anayejitambua. Big up Sana Mkuu.
Zile points 49,999 zimewasaidia nini?Simba hatuna Shaka..tupo Tyr kuanzia hatua yoyote..
Siku hizi wanatuogopa
Zimetusaidia kuwa kwenye list ya best top 15 football clubs in Africa..Simba ipo pale inaiwakilisha Tz na east AfricaZile points 49,999 zimewasaidia nini?
Anaanza na PETRO DU LUANDA. hao jamaa hawajua uwanja wa nyumbani wala ugenini, unaambiwa hao jamaa kazi yao ni kuangalia uwanja na mpira, yaan wakiona nyasi za uwanja basi wanakiwasha mwanzao mwisho. Waulize MAMELODIfaida kwa Simba ni kuanzia away.
Wee acha uongo wako, ratiba bado haijatoka. Wee umetoa wapi hizi taarifa???Anaanza na PETRO DU LUANDA. hao jamaa hawajua uwanja wa nyumbani wala ugenini, unaambiwa hao jamaa kazi yao ni kuangalia uwanja na mpira, yaan wakiona nyasi za uwanja basi wanakiwasha mwanzao mwisho. Waulize MAMELODI