Simba na Yanga zitaanzia hatua ya awali kwenye Ligi ya Mabingwa Africa msimu ujao 2022/23

demigod

JF-Expert Member
Jan 2, 2015
8,250
15,116
Hii ni habari njema sana kwa soka la Tanzania.

Simba na Yanga zitaanzia hatua ya awali kwenye Ligi ya Mabingwa Africa msimu ujao 2022/23.

Here is the right news only.
 
faida kwa Simba ni kuanzia away.
Anaanza na PETRO DU LUANDA. hao jamaa hawajua uwanja wa nyumbani wala ugenini, unaambiwa hao jamaa kazi yao ni kuangalia uwanja na mpira, yaan wakiona nyasi za uwanja basi wanakiwasha mwanzao mwisho. Waulize MAMELODI
 
Anaanza na PETRO DU LUANDA. hao jamaa hawajua uwanja wa nyumbani wala ugenini, unaambiwa hao jamaa kazi yao ni kuangalia uwanja na mpira, yaan wakiona nyasi za uwanja basi wanakiwasha mwanzao mwisho. Waulize MAMELODI
Wee acha uongo wako, ratiba bado haijatoka. Wee umetoa wapi hizi taarifa???
 
Back
Top Bottom