Monsignor
JF-Expert Member
- Jan 29, 2009
- 523
- 13
Maskini Simba Kwa Kiwango hiki mwakani tutapoteza wachezaji wengi sana, hasa huyu dogo Okwi, kama Xavi, halafu huyu Banka anacheza kama Iniesta
Huyo Banka Kandambili watajuta kumuacha
Maskini Simba Kwa Kiwango hiki mwakani tutapoteza wachezaji wengi sana, hasa huyu dogo Okwi, kama Xavi, halafu huyu Banka anacheza kama Iniesta
Ma Mdogo,
Kwenye suala la soka rangi zangu ziko wazi kabisa!
Blue na nyeupe (nje ya Tanzania) - Chelsea & Real Madrid
Nyekundu na nyeupe (ndani ya Tanzania) - Wekundu wa Msimbazi.
Ah, soka letu soka la Bongo michosho, tunabaki kushabikia walau hata majina ya klabu zetu. Walau Simba wanacheza soka lililoenda shule kiasi
hahahaaaaaaaaa.................mdau tupo pamoja exactrrrrrryyy!!
Mdau Unageuka? wewe si Kandambili au. Mpaka dakika tisini zinaisha Tutakuwa tumeshasilimisha kandambili wote. Ha ha haaa
watavamia jamvi nomaa,server itazidiwa...
Ila wakipata Kagoli hapa Jamvini hapata kalika
msimtukane sana,tatizo ganja tu....