SIMBA NA YANGA DUUUUUUH

mahunduhamza

Member
Aug 25, 2021
19
46
Klabu ya Yanga imewachapa watani wao wa jadi Simba SC na kuizuia klabu hiyo kutangazwa mabingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania kwa msimu wa 2020/2021.
Mabingwa watetezi Simba walihitaji kupata alama tatu ili kutawazwa mabingwa kwa msimu wa nne mfululizo.
Hata hivyo goli la dakika ya 13 lililofungwa na Zawadi Mauya liliitosha Yanga kuifunga mdomo Simba na kulinda hadhi yake. Laiti Yanga ingelifungwa, maana yake watani wao wangetangazwa mabingwa kupitia mgongo wao.
Hata hivyo licha ya kufungwa bado Simba wapo katika nafasi nzuri ya kuchukua ubingwa. Simba sasa inahitaji kushinda michezo miwili kati ya minne aliyosalia nayo ili kuchukua ubingwa. Hata hivyo, ubingwa huo utakosa kionjjo muhimu cha kumfunga Yanga katika mechi zote mbili za msimu huu. Mechi ya raundi ya kwanza Simba na Yanga zilitoka sare ya goli 1-1.
 
Klabu ya Yanga imewachapa watani wao wa jadi Simba SC na kuizuia klabu hiyo kutangazwa mabingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania kwa msimu wa 2020/2021.
Mabingwa watetezi Simba walihitaji kupata alama tatu ili kutawazwa mabingwa kwa msimu wa nne mfululizo.
Hata hivyo goli la dakika ya 13 lililofungwa na Zawadi Mauya liliitosha Yanga kuifunga mdomo Simba na kulinda hadhi yake. Laiti Yanga ingelifungwa, maana yake watani wao wangetangazwa mabingwa kupitia mgongo wao.
Hata hivyo licha ya kufungwa bado Simba wapo katika nafasi nzuri ya kuchukua ubingwa. Simba sasa inahitaji kushinda michezo miwili kati ya minne aliyosalia nayo ili kuchukua ubingwa. Hata hivyo, ubingwa huo utakosa kionjjo muhimu cha kumfunga Yanga katika mechi zote mbili za msimu huu. Mechi ya raundi ya kwanza Simba na Yanga zilitoka sare ya goli 1-1.
Mkuu uko ndotoni! Au mwenzetu memory card ya kichwa chako iliingia vairasi!! Na sasa ndiyo imeanza ku process outdated news!!
 
Watu wanaishi kwenye caves nawaambia.

Mi sifatilii mpira ila hao majamaa wakicheza nitajua tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom