Simba na tatizo la namba 10

Rocco sifredi

Member
Jul 15, 2023
57
106
Binafsi naona tatizo kubwa la simba lipo katika no 10 mtu ambaye atasimama nyuma ya striker,ambaye atamlisha stricker,mwenye uwezo wa kupiga penetration pass,kupunguza wachezaji wa timu pinzani,na hata kufunga ikibidi

Ukiangalia simba kwa sasa jukumu hilo kapewa saidoo ambaye kimsingi ni mbinafsi,hapigi penetration passes muda mwingi anakokota mpira matokeo yake anachezewa rafu na pia hachezi kitimu anapambana ndio uwanjani lakini outcome ni 0 na ndo tunategemea asimame nyuma ya stricker sometimes tunawalaumu baleke na phiri lakini ukiangalia tatizo hamna anayewalisha pasi za mwisho

Chama ukiangalia pamoja na mapungufu yake lakini kimsingi walau akikaa nyuma ya striker ana sifa zote hizo na ndo maana kipindi simba inachukua ubingwa mfululizo alikuwepo mtu sahihi sahivi simba inashinda kwa shida tukiachana na mipira iliyokufa saivi magoli ya mipango imekua ni ngumu ukiangalia Mpira hata huoni goli litatokea wapi

Hata pale MAN U tuliaminishwa degea ni outdated kwamba wanahitaji golie mwenye footwork nzuri matokeo yake imekua ni kituko

Wazo langu Chama anatakiwa aanze na apewe nafasi walau tutaona muunganiko wa timu kutoka katikati na mbele au la atafutwe no 10 ambaye ana ubora kuliko Chama Ila tukimtegemea saidoo kama playmaker ambaye atawalisha Baleke na Phiri sijui kama tutamaliza hata nafasi ya 2


YANGU NI HAYO
 
Bora wewe umeona kuwa Simba haina 10 kumuacha Chama peke yake. Na Chama mwenyewe umri umeshaanza kumtupa mkono. Huyo Saidoo tumepiga kelele sana hapa tukaambiwa eti tunamuonea wivu. Haya sasa Simba pamoja na kucheza vizuri mechi zote za mapinduzi je wamefunga magoli mangapi yaliyopikwa na mfumo wa timu au yote yalikuwa papatupapatu?

Hivi Simba ina viongozi wanaojua mpira kiundani au bora viongozi kiasi hawaoni haya mapungufu makubwa kiasi hiki kwenye timu ya saba kwa ubora Afrika? Najiuliza iwapo watashindwana na Chama na mpaka sasa hawajaleta mbadala wake si Simba itakuwa inapambana na wakina Ihefu huko mwishoni mwa msimamo wa ligi.

Viongozi wa Simba shtukenii punguzeni mawinga tafuteni namba kumi hata wa ndani awasaidie mpaka dirisha kubwa la usajili.
 
Binafsi naona tatizo kubwa la simba lipo katika no 10 mtu ambaye atasimama nyuma ya striker,ambaye atamlisha stricker,mwenye uwezo wa kupiga penetration pass,kupunguza wachezaji wa timu pinzani,na hata kufunga ikibidi

Ukiangalia simba kwa sasa jukumu hilo kapewa saidoo ambaye kimsingi ni mbinafsi,hapigi penetration passes muda mwingi anakokota mpira matokeo yake anachezewa rafu na pia hachezi kitimu anapambana ndio uwanjani lakini outcome ni 0 na ndo tunategemea asimame nyuma ya stricker sometimes tunawalaumu baleke na phiri lakini ukiangalia tatizo hamna anayewalisha pasi za mwisho

Chama ukiangalia pamoja na mapungufu yake lakini kimsingi walau akikaa nyuma ya striker ana sifa zote hizo na ndo maana kipindi simba inachukua ubingwa mfululizo alikuwepo mtu sahihi sahivi simba inashinda kwa shida tukiachana na mipira iliyokufa saivi magoli ya mipango imekua ni ngumu ukiangalia Mpira hata huoni goli litatokea wapi

Hata pale MAN U tuliaminishwa degea ni outdated kwamba wanahitaji golie mwenye footwork nzuri matokeo yake imekua ni kituko

Wazo langu Chama anatakiwa aanze na apewe nafasi walau tutaona muunganiko wa timu kutoka katikati na mbele au la atafutwe no 10 ambaye ana ubora kuliko Chama Ila tukimtegemea saidoo kama playmaker ambaye atawalisha Baleke na Phiri sijui kama tutamaliza hata nafasi ya 2


YANGU NI HAYO
Chama wanini Tena? Simba inatakiwa impate mbadala wa Chama halisi over!
 
Saido hawezi kuwa namba 10 mchezeshaji, ni mbinafsi, anapenda sifa, ana papara Sana!!. Benchika atapata tabu Sana kujifanya anamtoa kikosini chama...!. Chama ni mchezaji ambaye ukimpa free role uwanjani atakufunyia kazi kwa 80-90%... Simba hii bado inahitaji Sana huduma yake... Timu inatumia nguvu kubwa kushinda kuliko mipango....
 
Baleke hamna kitu yule,vimechi vya ligi anamudu,mechi zenye wachezaji wakaziii yanii wanakaba humuonii hataa...mpaka bahati mbaya! Kwanza anaushamba mwingiiii.
 
Saidoo
Ayoub
Phil
Baleke

Hawa kwa dirisha dogo walipaswa kuondoka,tuingize maingizo ya maana.
 
Binafsi naona tatizo kubwa la simba lipo katika no 10 mtu ambaye atasimama nyuma ya striker,ambaye atamlisha stricker,mwenye uwezo wa kupiga penetration pass,kupunguza wachezaji wa timu pinzani,na hata kufunga ikibidi

Ukiangalia simba kwa sasa jukumu hilo kapewa saidoo ambaye kimsingi ni mbinafsi,hapigi penetration passes muda mwingi anakokota mpira matokeo yake anachezewa rafu na pia hachezi kitimu anapambana ndio uwanjani lakini outcome ni 0 na ndo tunategemea asimame nyuma ya stricker sometimes tunawalaumu baleke na phiri lakini ukiangalia tatizo hamna anayewalisha pasi za mwisho

Chama ukiangalia pamoja na mapungufu yake lakini kimsingi walau akikaa nyuma ya striker ana sifa zote hizo na ndo maana kipindi simba inachukua ubingwa mfululizo alikuwepo mtu sahihi sahivi simba inashinda kwa shida tukiachana na mipira iliyokufa saivi magoli ya mipango imekua ni ngumu ukiangalia Mpira hata huoni goli litatokea wapi

Hata pale MAN U tuliaminishwa degea ni outdated kwamba wanahitaji golie mwenye footwork nzuri matokeo yake imekua ni kituko

Wazo langu Chama anatakiwa aanze na apewe nafasi walau tutaona muunganiko wa timu kutoka katikati na mbele au la atafutwe no 10 ambaye ana ubora kuliko Chama Ila tukimtegemea saidoo kama playmaker ambaye atawalisha Baleke na Phiri sijui kama tutamaliza hata nafasi ya 2


YANGU NI HAYO
Huo ndio ukweli haswaaa! Ukimtoa Chama,simba haichezi mpira ila inakuwa inabutuabutua
 
Chama wanini Tena? Simba inatakiwa impate mbadala wa Chama halisi over
unaweza kua upo sahihi lakini kiuhalisia kabisa kumpata namba 10 naturally traditional namba 10 sio kazi rahisi wengi saivi wanapotea

nomba 10 wanaocheza sahivi wengi wana tamaa ya kufunga kuliko kuassist na no maana hata baada ya chama kuondoka hata bwalya alishindwa kama unakumbuka tena kwa scouting hii iliyopo simba labda tutaona
 
Back
Top Bottom