William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
Ndio hivyo. Safari ya Okra ni sawa na ya Peter Banda na Sasa Chama na Phiri. Wakiwa katika ubora wa juu kabisa wananyimwa namba kwa fitna. Okra kaenda Ghana katupia goli tisa Tayari. Kwanini Yanga wasimchukue.
Okra akiwa Simba Aliifunga yanga. Akafunga de Agost magoli muhimu kabisa. Kafunga sana tatizo ubinafsi.
Baada ya Okra natamani kumuona Banda na Phiri na Chama Yanga au Azam.
Sasa wanawapiga zengwe viwango vishuke halafu waseme wamechoka wawateme.
Simba wakiendelea na ujinga wao mwakani hata club bingwa Africa hawatacheza.
Okra akiwa Simba Aliifunga yanga. Akafunga de Agost magoli muhimu kabisa. Kafunga sana tatizo ubinafsi.
Baada ya Okra natamani kumuona Banda na Phiri na Chama Yanga au Azam.
Sasa wanawapiga zengwe viwango vishuke halafu waseme wamechoka wawateme.
Simba wakiendelea na ujinga wao mwakani hata club bingwa Africa hawatacheza.