...............karibu sana simba mtoto.................,naamini kwenu kuna wakubwa...............yaani simba baba na simba mama.............,ambao nao wana wakubwa zao yaani simbababu na simba bibi.................,wote hao wameishi kwa amani,upendo na heshima kubwa hata ukapatikana wewe simba mtoto.......................unachotakiwa ni kuwaenzi hao waliokutangulia.........................kwa kuendeleza heshima,upendo,amani na utulivu,......................bila kuchoka kuchangia,....................,Sio tuu katika hiyo familia yako ya akina simba bali hata katika jamvi hili.......................karibu sana simba mtoto..............................,simbamtoto hoyeeeeeeeeeeeeeeee,JF hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeee,