kodian
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 976
- 1,104
Hivi haya mmbo ndo yameanza kwa simba tu au
Jamani ile penalty ya pili hapana aiseee,hata sijashangilia,najua wachezaji wanachoka kwa ratiba iliyobanana ila waongeze umakini kwenye chances wana zo create,maana kama kipindi cha kwanza walipoteza chances nyingi sana
Tushukuru tu refa kwa ile controversial penalty ya pili.