GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,864
Nipo tayari Kuchukiwa na Kutukanwa na Wana Simba SC wote wasiojua Mpira ila najua wale Wana Simba SC wasio Wanafiki na Werevu watakubaliana nami kuwa Penati iliyotupa Ushindi Usiku huu dhidi ya Polisi Tanzania ni kwamba kwa 100% Simba SC tumebebwa tena bila Aibu ya Mwamuzi.
Uwazi wangu ukikukwaza na Kukuumiza nakushauri jipige Kofi la Nguvu Usoni mwako kisha tafuta Sumu ya Kuua Panya, Ndorobo na Kunguni Korogea katika Kikombe kisha Kunywa Ufe kabisa ukapumzike vizuri.
Naamini kuna Shida Kubwa inaendelea Simba SC na inafanywa Siri kwetu Sisi Mashabiki kwani hata tu 'Body Language' ya Wachezaji wa Simba SC inathibitisha hilo na wala huhitaji kuwa na Elimu Kubwa Kugundua ( Kuligundua ) hili.
Bado nataka na natamani Mechi yetu nyingine ya Jumapili tufungwe ili 'Kinuke' au 'Kisanuke' Klabuni Simba na tupigane, tufarakane na tufukuzane ili Timu iwe chini ya Wazee na Kamati Maalum huku Kocha Mkuu wa muda akiwa Matola na Mgosi wakati akisubiriwa Kocha Mkuu mpya wa Kigeni.
Rally Bwalya Kanikera Kutufungia Goli.
Uwazi wangu ukikukwaza na Kukuumiza nakushauri jipige Kofi la Nguvu Usoni mwako kisha tafuta Sumu ya Kuua Panya, Ndorobo na Kunguni Korogea katika Kikombe kisha Kunywa Ufe kabisa ukapumzike vizuri.
Naamini kuna Shida Kubwa inaendelea Simba SC na inafanywa Siri kwetu Sisi Mashabiki kwani hata tu 'Body Language' ya Wachezaji wa Simba SC inathibitisha hilo na wala huhitaji kuwa na Elimu Kubwa Kugundua ( Kuligundua ) hili.
Bado nataka na natamani Mechi yetu nyingine ya Jumapili tufungwe ili 'Kinuke' au 'Kisanuke' Klabuni Simba na tupigane, tufarakane na tufukuzane ili Timu iwe chini ya Wazee na Kamati Maalum huku Kocha Mkuu wa muda akiwa Matola na Mgosi wakati akisubiriwa Kocha Mkuu mpya wa Kigeni.
Rally Bwalya Kanikera Kutufungia Goli.