hizi ni baadhi ya threads zangu za kumkandia papaa zahera na Tasaf fc ,kuongelea madudu yaliyotokea leo kirumba hakunifanyi nisiwe mshabiki wa simbaWamefungwa KMC wanaumia wengine.
Haya ni matumizi mabaya ya Maumivu.
Tukusaidiaje? Kwa akili yako KMC wangeshinda au wakishinda watakuwa nafasi ya tatu au ya pili kwenye TPL? Bora ungesema AZAM sawa lakini siyo kwa timu hizo?hizi ni baadhi ya threads zangu za kumkandia papaa zahera na Tasaf fc ,kuongelea madudu yaliyotokea leo kirumba hakunifanyi nisiwe mshabiki wa simba
kwa papaaa zahera, mazembe vs as vita ni vichekesho
mwingine anaweza kusema labda kwa kinshasa as vita vs dc motema pembe ndiyo mechi kubwa lakini hapana asiee sisi tunajua as vita na mazembe ndizo teams kubwa congo..sasa angalia attendance ya hii mechi yao ya jana ila ukimsikia papaa zahera anavyokandia ligi ya bongo na kutoa mifano ya congo...www.jamiiforums.comIla Zahera anatuoanaga wajinga sana na uongo wake kuhusu Congo,angalia huu uwanja wa ligi kuu
Kuna siku nilimsikiaga akilalamikia viwanja bongo ni vibovu ,nikajiuliza hivi afrika yetu hii ukitoa south africa na nchi za kiarabu hali ya viwanja vya mpira si inafanana? Jamaa ni muongo na ana masifa ya ki congo kwelikweli,embu anagalia kiwanja hiki cha ligi kuu ya congo tena uwanjani wapo as...www.jamiiforums.comKinawachowachanganya Yanga na timu za nje vs Simba ni spirit ya ushindi
Jamaa wa yanga utawasikia ,agh ndo basi bana mshatoka hata hivyo mmejitahidi kufika robo fainali,nani kakuambia wewee?spirit ya simba ya this time nimeipenda,hakuna kuridhika,we want more and more,natamani tasaf vyura vyuran nao wangeiiga,angalia azam fc hawana hiyos pirit wameridhika kula hela...www.jamiiforums.comKikosi hiki cha Simba ndicho kicheze marudiano Lubumbashi
manula,zana,hussein,juuko,wawa,nyoni,kotei,muzamiru,kagere,boko,okwi. nyoni atakuwa anasaidia upande wa kushoto kukaba,kotei kulia, muzamiru naye ana uwezo wa kukaba na kupiga pass,maana inabidi ku defend pia,tukienda na plan ya kuwaweka niyonzima na chama na kucheza gemu la kufunguka walahi...www.jamiiforums.com
umesoma uzi wangu ukaelewa?????nimechukia kushindwa kufunga kwa clear chances siyo kuja kufunga kwa penalty za kupewa ,simba is better than that,halafu mabeki wa kushoto na kulia wanapitika kirahisi sana,kipindi cha kwanza zana alikuwa uchochoro,kipindi cha pili kaingia msuva tshabalala kawa uchochoroTukusaidiaje? Kwa akili yako KMC wangeshinda au wakishinda watakuwa nafasi ya tatu au ya pili kwenye TPL? Bora ungesema AZAM sawa lakini siyo kwa timu hizo?
Duu! Kwa hiyo ndio sababu ya nyie mikia kubebwa?Tukusaidiaje? Kwa akili yako KMC wangeshinda au wakishinda watakuwa nafasi ya tatu au ya pili kwenye TPL? Bora ungesema AZAM sawa lakini siyo kwa timu hizo?
Haya ni matumizi mabaya ya ubongo. Kuna vitu vya kushabikia ila sio huu upuuzi unaofanywa na marefa. Kushabikia hizo mambo ni sawa na kubariki kuua soka letu.Wamefungwa KMC wanaumia wengine.
Haya ni matumizi mabaya ya Maumivu.
In short refa pamoja na vibendela hawakuwa makini the same scenario ilitokea kwa kagere kupasiwa mpira na mchezaji wa kmc ktk kipindi cha kwanza dk za mwanzo lakini kibendera akasema offside sijui nayo umeisahau,ukisema unaambiwa ni TASAF,penalty ya kwanza sawa ila ya pili hapana aisee ni ball to hand na siyo kwamba kuna movement iliyozuiwa ni beki aliokoa ukagonga mwenzake,vipi ile ya nyoni dakika ya mwisho kurudisha nyuma refa akasema ni offside kwa kmc?
Mbona ile dakika za mwanzoni kabisa mchezaji wa kmc alivyorudisha nyuma ikamkuta kagere refa akasema ni offside huisemi...kwa hiyo maamuzi yakuiumiza simba ni sawa but yakitokea maamuzi ambayo yanawafaidisha simba basi tunakuja kuanzisha thread simba anabebwa....round ya kwanza mechi ya simba na yanga okwi alifunga goli clear kabisa refa akasema ni offside but hakukuanzishwa thread humuhizo ni baadhi ya threads zangu nikiikandia yanga na Papaa zahera,yaani kusema ukweli kwamba tumebebwa leo ndiyo nimekuwa siyo simba?vipi kuhusu lile boko la nyoni alilorudisha nyuma refa akasema offside Kmc wakiwa wanenda kusawazisha?
kwa papaaa zahera, mazembe vs as vita ni vichekesho
mwingine anaweza kusema labda kwa kinshasa as vita vs dc motema pembe ndiyo mechi kubwa lakini hapana asiee sisi tunajua as vita na mazembe ndizo teams kubwa congo..sasa angalia attendance ya hii mechi yao ya jana ila ukimsikia papaa zahera anavyokandia ligi ya bongo na kutoa mifano ya congo...www.jamiiforums.com
Ila Zahera anatuoanaga wajinga sana na uongo wake kuhusu Congo,angalia huu uwanja wa ligi kuu
Kuna siku nilimsikiaga akilalamikia viwanja bongo ni vibovu ,nikajiuliza hivi afrika yetu hii ukitoa south africa na nchi za kiarabu hali ya viwanja vya mpira si inafanana? Jamaa ni muongo na ana masifa ya ki congo kwelikweli,embu anagalia kiwanja hiki cha ligi kuu ya congo tena uwanjani wapo as...www.jamiiforums.com
Kinawachowachanganya Yanga na timu za nje vs Simba ni spirit ya ushindi
Jamaa wa yanga utawasikia ,agh ndo basi bana mshatoka hata hivyo mmejitahidi kufika robo fainali,nani kakuambia wewee?spirit ya simba ya this time nimeipenda,hakuna kuridhika,we want more and more,natamani tasaf vyura vyuran nao wangeiiga,angalia azam fc hawana hiyos pirit wameridhika kula hela...www.jamiiforums.com
Kikosi hiki cha Simba ndicho kicheze marudiano Lubumbashi
manula,zana,hussein,juuko,wawa,nyoni,kotei,muzamiru,kagere,boko,okwi. nyoni atakuwa anasaidia upande wa kushoto kukaba,kotei kulia, muzamiru naye ana uwezo wa kukaba na kupiga pass,maana inabidi ku defend pia,tukienda na plan ya kuwaweka niyonzima na chama na kucheza gemu la kufunguka walahi...www.jamiiforums.com
Una uhakika gani kwamba ile filimbi walimaanisha offside??Hata ile offside tulipendelewa, nyoni alimpa mpira forward wa KMC linesman kasema offside. Leo tumebebwa
NA BADO SANA MANA SISI WENZENU TULIENDA MPK FIFA KULALAMIKA JIANDAENI NA NYNY MUENDEJamani ile penalty ya pili hapana aiseee,hata sijashangilia,najua wachezaji wanachoka kwa ratiba iliyobanana ila waongeze umakini kwenye chances wana zo create,maana kama kipindi cha kwanza walipoteza chances nyingi sana
Tushukuru tu refa kwa ile controversial penalty ya pili.
simba wanabebwa kama watoto pumbavu sana refa