Simba kapakatwa pub

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,579
Reaction score
161,432
Kijitonyama maeneo ya makumbusho barabarani kabisa kuna hii pub mpya imefunguliwa.
Nahisi bia za pale zina raha ya ajabu kutokana na jina lake.





 

Attachments

  • BAR.jpg
    16.5 KB · Views: 1,772
mmmh uncle!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
MIMI NI MDAU SANA WA PALE..ACTUALLY SIYO MPYA ILA MAMBO YA PROMO TU NDIO YAPO JUU KWA SASA...ILA ENZI ZETU 2 YRS BACK NILIKUWA SIKOSI PALE SUNGURA CHOMA etc !!!
 
Kijitonyama maeneo ya makumbusho barabarani kabisa kuna hii pub mpya imefunguliwa.
Nahisi bia za pale zina raha ya ajabu kutokana na jina lake.






ngoja nimtafute mtikila tukawashtaki hawa jamaa au wanamaanihsa nini jamani?
 
nilidhani ni mambo tu na story za buibuji, kumbe kweli hii kitu ipo?
MIMI NI MDAU SANA WA PALE..ACTUALLY SIYO MPYA ILA MAMBO YA PROMO TU NDIO YAPO JUU KWA SASA...ILA ENZI ZETU 2 YRS BACK NILIKUWA SIKOSI PALE SUNGURA CHOMA etc !!!
 
wadau hata mimi nimeshaiona hii pub..,ila sielewi kwanin owner ametumia hili jina,au anautani na washabiki wa Simba,kibiashara ikoje hii,.jamii imelipokeaje hilo jina +picha yake?
 
Nlipita nkacheka sana. Ivi uyu mjamaa alimweleza nini mpaka simba akawa mpole vile?
 
Kijitonyama maeneo ya makumbusho barabarani kabisa kuna hii pub mpya imefunguliwa.
Nahisi bia za pale zina raha ya ajabu kutokana na jina lake.






Duh!

Hapa bia zao zitakuwa kali kama konyagi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…