kwani kuna mzungu simba? aondoke atuachie timu yetu
Nikisoma maoni haya nashindwa kuelewa kama kweli aliyeandika anaelewa vizuri sula linalojadiliwa hapa na kama kweli anaelewa mpira (soka) unavyoendeshwa. Maana anadai samba inamptezea muda halafu wakacheze umishumta na umiseta vitu vyote hivi haviwezekani katika uhalisia wa mambo
Tatizo sio mzungu, ebu jiulize!
Leiwig, Kibaden, Lugarosic, Phiri, na huyu wa sasa ndani ya miaka 2 tu?
Mi nionavyo, phiri alitakiwa apewe muda zaidi. Kwa hali ilivyo sasa, kocha mwingine anakuja tena! Hata aje Mourinho, kwa spidi hii tutaendelea kuwa vilaza!
Mnapitia kwenye kipindi gani?sports leo?,weekend show?lete raha?chombeza time?kumepambazuka?chaguo la msikilizaji au muzik na michezo?Kwani SIMBA ya ngapi katika msimamo... na mechi zimebaki ngapi ligi kwisha!!..... Nyie kandambili kama simba inafanya vibaya si ndo mnatakiwa kufurahi,, sasa maneno ya nini..!!! Tuachieni timu yetu tunajua tunapitia kwenye kipindi gani... Nyie endeleeni kununua mechi mkikutana na wanaume huko nje mnapigwa mnarudi kwenye ligi yetu ya ndondo
Haiwezekani Simba leo ikacheze ndondo kahama ili ipate hela ya mafuta ya basi.Viongozi wako wapi?timu inavitega uchumi vya kutosha iweje leo tukose hela ya kujaza mafuta kwenye basi au tuzuiliwe kuondoka hotelini tanga?
acha kubwabwaja kama mbumbumbu asiye jielewa tulieni msikilizie utamu wa liki.....mikia bwana naichukia kuliko neno lenyewe kwanza hamtofautiani na mfu anayetembea,,mmeshajifia mnasubiri kuzikwa tu(kushuka daraja)Msipomuongelea Mume wenu naona vitoto mapacha viwili tulivyowapa Disemba vinacheza cheza tumboni?
Kwani wewe tulipokutungua 5-0 Ulishuka daraja, au JKU alipokubonyeza kimoja mlijifia? mbona ni matokeo ya kawaida ya uwanjani, Simba sio wapumbavu na mabwege kama nyinyi kuhonga kila mechi mamilioni ya fedha kwa ubingwa wa milioni 70.acha kubwabwaja kama mbumbumbu asiye jielewa tulieni msikilizie utamu wa liki.....mikia bwana naichukia kuliko neno lenyewe kwanza hamtofautiani na mfu anayetembea,,mmeshajifia mnasubiri kuzikwa tu(kushuka daraja)
Kwani wewe tulipokutungua 5-0 Ulishuka daraja, au JKU alipokubonyeza kimoja mlijifia? mbona ni matokeo ya kawaida ya uwanjani, Simba sio wapumbavu na mabwege kama nyinyi kuhonga kila mechi mamilioni ya fedha kwa ubingwa wa milioni 70.
Nenda ukanye wewe, mapera ule mwenyewe usumbufu utuletee klabuni kwetu. Toa inzi hapa.Kwa mwenendo wa ligi Simba mwaka huu inaelekea kuaga Ligi Kuu na kucheza ligi Daraja la Kwanza.
Llakini hii inatokea kama utani vile japo ni swala la muda na wengi hawataamini
Umeanza kuvaa kilemba mwisho wa siku utavishwa kanga za India na shanga za kimasai kwa umbea wa kuingilia kati mambo ya nyumba ya pili. Mbona Yanga miaka 3 iliyopita ililala Mbeya mzungu wa 4 Kocha wa watu mzungu aliposema ukweli ukata ulivyo ndani ya klabu mkamtimua kwani uliona Simba yeyote aliongea???Simba mna njaa tena kali na bado mtapigwa mechi 4 zingine mpaka ligi inakwisha,endeleeni kuongea utumbo wenu mambumbumbu FC
Mpiga ramli, bado unatetea kauli yako? Au ninyi ndio wale wanaojidai kutabiri kwa kufuatana na mwenendo wa wakati huo tu? Ningependa uje hapa utetee hoja yakoKwa mwenendo wa ligi Simba mwaka huu inaelekea kuaga Ligi Kuu na kucheza ligi Daraja la Kwanza.
Llakini hii inatokea kama utani vile japo ni swala la muda na wengi hawataamini