isack jimmy
Member
- Jan 24, 2014
- 7
- 1
Simba pole yao,ila wanaeza kujipanga mda upo na mechi bado nyingi
Like@kiongoziKwani SIMBA ya ngapi katika msimamo... na mechi zimebaki ngapi ligi kwisha!!..... Nyie kandambili kama simba inafanya vibaya si ndo mnatakiwa kufurahi,, sasa maneno ya nini..!!! Tuachieni timu yetu tunajua tunapitia kwenye kipindi gani... Nyie endeleeni kununua mechi mkikutana na wanaume huko nje mnapigwa mnarudi kwenye ligi yetu ya ndondo
Simba ina mafundi wengi lakini haina soldiers
ndo maana timu ikicheza jihad kama mbeya city au Stendi leo inaisumbua Simba
walipaswa kutafuta soldiers pia sio mafundi peke yake
Simba pole yao,ila wanaeza kujipanga mda upo na mechi bado nyingi
simba ina mafundi wengi lakini haina soldiers
ndo maana timu ikicheza jihad kama mbeya city au stendi leo inaisumbua simba
walipaswa kutafuta soldiers pia sio mafundi peke yake
Hawa yebo yebo badala wafuate yao wanakalia uswahili kufuatilia yasowahusu. Wamekalia ushirikina tu wa uwanjani.
Simba ina mafundi wengi lakini haina soldiers
ndo maana timu ikicheza jihad kama mbeya city au Stendi leo inaisumbua Simba
walipaswa kutafuta soldiers pia sio mafundi peke yake
Simba na Yanga zingeshuka daraja halafu zife kabisa kama Pan Africa na Nyota Nyekundu, mi ningefurahi sana.​
Msipomuongelea Mume wenu naona vitoto mapacha viwili tulivyowapa Disemba vinacheza cheza tumboni?Kwa mwenendo wa ligi Simba mwaka huu inaelekea kuaga Ligi Kuu na kucheza ligi Daraja la Kwanza.
Llakini hii inatokea kama utani vile japo ni swala la muda na wengi hawataamini
Kama ungeangalia Sports Bar ya Clouds jana na kuona jinsi Yeboyebo walivyoingia uwanjani na Akilimali wao ungeelewa nini maana ya Yanga kuitwa vigagula.Ninyi mikia mirefu fc mmesahau tayari yaliyotokea kule morogoro wanakati mnacheza na polisi moro!! Si mlitaka kuzichapa wenyewe kwa wenyewe kwa ajili ya uchawi!!? Ama kweli mikia haina kumbukumbu na ndio maana mwenyekiti wao aliwaita mambumbumbu.
...ishuke tu ikacheze umishumta na umiseta,huku wanatupotezea muda hakuna cha maana wanafanya...
Nikisoma maoni haya nashindwa kuelewa kama kweli aliyeandika anaelewa vizuri sula linalojadiliwa hapa na kama kweli anaelewa mpira (soka) unavyoendeshwa. Maana anadai samba inamptezea muda halafu wakacheze umishumta na umiseta vitu vyote hivi haviwezekani katika uhalisia wa mambo
nilimaanisha samba sio "samba" samahani