Kwani SIMBA ya ngapi katika msimamo... na mechi zimebaki ngapi ligi kwisha!!..... Nyie kandambili kama simba inafanya vibaya si ndo mnatakiwa kufurahi,, sasa maneno ya nini..!!! Tuachieni timu yetu tunajua tunapitia kwenye kipindi gani... Nyie endeleeni kununua mechi mkikutana na wanaume huko nje mnapigwa mnarudi kwenye ligi yetu ya ndondo
unamaanisha ushirikina ule ambao simba alikuwa anaroga morogoro wakamkamata na leo tena kambarage amejaribu kuroga wakakwida,,,..nyie kweli nimambumbumbu hamna kitu, rage aliwajuliaHawa yebo yebo badala wafuate yao wanakalia uswahili kufuatilia yasowahusu. Wamekalia ushirikina tu wa uwanjani.
mbeya city1 - 3 yangaYangavipi tumeshinda??
Siku Simba na Yanga watakaposhuka daraja ndio utakuwa mwisho wa soka Tanzania. Nakuapia lazima TFF watabadilisha kanuni za ligi kwa kuhakikisha wawili hao lazima wanabaki kwenye ligi. Unabisha?
wewe unaishi dunia gani????..........kapigwa kabali ya mbao na watoto wa mujini stand united chama la wanaDah kwaraha zetu nasikia jamaa kadraw uwiii
Ukitaka kujua ligi mbaya mmoja ashuke kati ya S or Y