Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 7,376
- 16,538
Simba wamenyooka sana kwenye haya mambo ya sheria na kanuni,hadi wafanye jambo ujue wameshajihakikishia kwamba wako sahihi.
Yanga walipanga hujuma kuwafunga Simba kwa uonevu wakawanyima uwanja wa mazoezi na vurugu juu,Simba wakaona isiwe kesi ni kuandika chapisho moja kwamba hawachezi.
Yanga walishapanga mazingira ya mechi,nje ya uwanja na ndani,kwanza rushwa halafu kuwaharibu wachezaji wa simba kisaikolojia,Simba wakaona ili heshima iwepo basi hawachezi,Yanga walishaandaa mazingira ya ajabu ndo maana wakang'a ng'ania mechi.
Simba imetoa tamko mara moja, baada ya hapo bado ya ligi ,TFF na Yanga hawajui la kufanya kila mtu anakuja na tamko lake
Yanga walipanga hujuma kuwafunga Simba kwa uonevu wakawanyima uwanja wa mazoezi na vurugu juu,Simba wakaona isiwe kesi ni kuandika chapisho moja kwamba hawachezi.
Yanga walishapanga mazingira ya mechi,nje ya uwanja na ndani,kwanza rushwa halafu kuwaharibu wachezaji wa simba kisaikolojia,Simba wakaona ili heshima iwepo basi hawachezi,Yanga walishaandaa mazingira ya ajabu ndo maana wakang'a ng'ania mechi.
Simba imetoa tamko mara moja, baada ya hapo bado ya ligi ,TFF na Yanga hawajui la kufanya kila mtu anakuja na tamko lake