Ni kwa sababu moja tu kuwa hata Jwangney galaxy akiifunga Simba haitakuwa na maana yoyote ile kwake. Mwenye nafasi ya kufuzu ni Simba au Wydad iwe kwa kushinda au kwa sare.
Kwa maana hiyo basi na hasa ukizingatia waafrika tunavyopenda rushwa na hongo, NI DHAHIRI TAYARI MAKUBALIANO YA PANDE MBILI KATI YA SIMBA NA GALAXY YAMESHAFANYIKA. kinachosubiriwa ni formalities tu za kukamilisha ratiba. MO Dewji katika mipango ya hivi tunamuamini sana.
Ila cha ajabu sasa ni pale Simba watakavyoshangilia kana kwamba kufuzu kwao ni kwa kupambana kama ilivyofanya Yanga.
Timu ya Yanga inastahili Pongezi kubwa sna
Kwa maana hiyo basi na hasa ukizingatia waafrika tunavyopenda rushwa na hongo, NI DHAHIRI TAYARI MAKUBALIANO YA PANDE MBILI KATI YA SIMBA NA GALAXY YAMESHAFANYIKA. kinachosubiriwa ni formalities tu za kukamilisha ratiba. MO Dewji katika mipango ya hivi tunamuamini sana.
Ila cha ajabu sasa ni pale Simba watakavyoshangilia kana kwamba kufuzu kwao ni kwa kupambana kama ilivyofanya Yanga.
Timu ya Yanga inastahili Pongezi kubwa sna