MMMh!!! haumezeki bana, nabwaga manyanga
Yuko fit kabisa, tatizo ni pale tunamaliza naanza kudaiwa nauli, mara matumizi, mara oooooooo aaaaa gh! inanikera[
khaaa! ana wazimu huyo yani anakudai tu hela ka vile we ni babake?!! hata soni hana...tupa kule huyo hata akipata kazi ataendelea kukupiga mizinga as mazoea hujenga tabia...au anza kumnyima/mwambie huna achakalike lol