Simba akila majani kazidiwa si asili yake

Simba akila majani kazidiwa si asili yake

majoto

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2013
Posts
2,751
Reaction score
5,340
Hivi mimi ni wa kumhonga mwanamume? Loh hivi nimepatwa na nini? Mwenzenu najishangaa sijawahi honga kidume chochote na si utaratibu wangu hata siku moja! Cha ajabu nimeangukia eti kwenye penzi, kidume hakina kazi, nakipa nauli, pesa ya kula, ya dawa na nguo nakinunulia! loh najishangaa nimekuwaje mie???? Najua vidume vitapiga kelele lakini ukweli utabaki pale pale, nimezaliwa mwanamke nastahili kupata huduma zote kutoka kwa mwanamume, nastahili kulelewa na sio kulea kidume chochote! Ndio je, ... mnataka kubisha, nyie bisheni tu ila nahitaji kukiondoa hiki kilichoniingilia na kupelekea mimi kuhonga kidume! eti penzi; loooo penzi gani la kulea dume zima lenye nguvu zake.

Kama kupenda ndio huku sitaki tena, nahitaji kuwa freee, nahitaji kupenda atakayenitunza na kunirusha rusha kwenye bahari ya maraha niufurahie uanamke wangu. Potelea mbali acha niliue hili penzi ingawa limenikaba koo maana kidume kiroho changu kimeridhika ila akili yangu haikubali kabisa... nitajitahidi niliepuke nipumue mtoto wa kike loH! nisaidieni jamani ili hiki kiroho changu kiache kupenda janga, yes, hili ni janga kwangu maana bajeti zangu zinaharibika kisa kuhudumia kidume... uwiiiiiiiiiiii
 
Hivi mimi ni wa kumhonga mwanamume? Loh hivi nimepatwa na nini? Mwenzenu najishangaa sijawahi honga kidume chochote na si utaratibu wangu hata siku moja! Cha ajabu nimeangukia eti kwenye penzi, kidume hakina kazi, nakipa nauli, pesa ya kula, ya dawa na nguo nakinunulia! loh najishangaa nimekuwaje mie???? Najua vidume vitapiga kelele lakini ukweli utabaki pale pale, nimezaliwa mwanamke nastahili kupata huduma zote kutoka kwa mwanamume, nastahili kulelewa na sio kulea kidume chochote! Ndio je, ... mnataka kubisha, nyie bisheni tu ila nahitaji kukiondoa hiki kilichoniingilia na kupelekea mimi kuhonga kidume! eti penzi; loooo penzi gani la kulea dume zima lenye nguvu zake.

Kama kupenda ndio huku sitaki tena, nahitaji kuwa freee, nahitaji kupenda atakayenitunza na kunirusha rusha kwenye bahari ya maraha niufurahie uanamke wangu. Potelea mbali acha niliue hili penzi ingawa limenikaba koo maana kidume kiroho changu kimeridhika ila akili yangu haikubali kabisa... nitajitahidi niliepuke nipumue mtoto wa kike loH! nisaidieni jamani ili hiki kiroho changu kiache kupenda janga, yes, hili ni janga kwangu maana bajeti zangu zinaharibika kisa kuhudumia kidume... uwiiiiiiiiiiii

Hilo penzi litakutesa sana, jitahidi ujinasue dada yangu
 
Hilo penzi litakutesa sana, jitahidi ujinasue dada yangu

Nimeliona hilo, nipe njia ya kuufanya moyo wangu usimpende huyu, maana nimempenda lakini mmmmm naumiaaa!
 
idume hakina kazi, nakipa nauli, pesa ya kula, ya dawa na nguo nakinunulia! ..

Ni uamuzi wako binafsi, ... of course propelled by pepo
 
anakupiga mtarimbo wa kweli au michosho 6x6?
Hivi mimi ni wa kumhonga mwanamume? Loh hivi nimepatwa na nini? Mwenzenu najishangaa sijawahi honga kidume chochote na si utaratibu wangu hata siku moja! Cha ajabu nimeangukia eti kwenye penzi, kidume hakina kazi, nakipa nauli, pesa ya kula, ya dawa na nguo nakinunulia! loh najishangaa nimekuwaje mie???? Najua vidume vitapiga kelele lakini ukweli utabaki pale pale, nimezaliwa mwanamke nastahili kupata huduma zote kutoka kwa mwanamume, nastahili kulelewa na sio kulea kidume chochote! Ndio je, ... mnataka kubisha, nyie bisheni tu ila nahitaji kukiondoa hiki kilichoniingilia na kupelekea mimi kuhonga kidume! eti penzi; loooo penzi gani la kulea dume zima lenye nguvu zake.

Kama kupenda ndio huku sitaki tena, nahitaji kuwa freee, nahitaji kupenda atakayenitunza na kunirusha rusha kwenye bahari ya maraha niufurahie uanamke wangu. Potelea mbali acha niliue hili penzi ingawa limenikaba koo maana kidume kiroho changu kimeridhika ila akili yangu haikubali kabisa... nitajitahidi niliepuke nipumue mtoto wa kike loH! nisaidieni jamani ili hiki kiroho changu kiache kupenda janga, yes, hili ni janga kwangu maana bajeti zangu zinaharibika kisa kuhudumia kidume... uwiiiiiiiiiiii
 
then its okay 🙂, you treat us men the same way. the shoe is on the other foot
Yuko fit kabisa, tatizo ni pale tunamaliza naanza kudaiwa nauli, mara matumizi, mara oooooooo aaaaa gh! inanikera
 
Ebu piga chini fasta,majoto. Mimi ni mwanaume lakini nakerwa na mijanaume inayopenda kuegemea mwanamke kwa kila kitu. Umlalie, ummwagie, umlize, halafu umwombe hela ya matumizi,badala ya kumfuta machozi kwa karatasi nyekundu badala ya handkerchief? That is so crazy. Sikatai kuna kupata na kukosa, siku huna mara mojamoja akusaidie lakini sio uwe kama katoto kachanga kwake.
 
Mfungulie biashara kama unajimudu uone kama atakuwa tegemezi kwako. Pesa zinatafutwa na kupatikana dada, lakini penzi la kweli kulipata shughuli na unaweza ulipate halafu kidume kikawa hakijimudu ktk 6x6.

Sasa kama wako anakutawanya vipande vipande halafu anakuunga tena usimuache, utakuja juta atakapochukuliwa na mwanamke mwenzako anayejua kutunza siku watakupita kwenye PRADO kwa raha zao.
 
Hivi mimi ni wa kumhonga mwanamume? Loh hivi nimepatwa na nini? Mwenzenu najishangaa sijawahi honga kidume chochote na si utaratibu wangu hata siku moja! Cha ajabu nimeangukia eti kwenye penzi, kidume hakina kazi, nakipa nauli, pesa ya kula, ya dawa na nguo nakinunulia! loh najishangaa nimekuwaje mie???? Najua vidume vitapiga kelele lakini ukweli utabaki pale pale, nimezaliwa mwanamke nastahili kupata huduma zote kutoka kwa mwanamume, nastahili kulelewa na sio kulea kidume chochote! Ndio je, ... mnataka kubisha, nyie bisheni tu ila nahitaji kukiondoa hiki kilichoniingilia na kupelekea mimi kuhonga kidume! eti penzi; loooo penzi gani la kulea dume zima lenye nguvu zake.

Kama kupenda ndio huku sitaki tena, nahitaji kuwa freee, nahitaji kupenda atakayenitunza na kunirusha rusha kwenye bahari ya maraha niufurahie uanamke wangu. Potelea mbali acha niliue hili penzi ingawa limenikaba koo maana kidume kiroho changu kimeridhika ila akili yangu haikubali kabisa... nitajitahidi niliepuke nipumue mtoto wa kike loH! nisaidieni jamani ili hiki kiroho changu kiache kupenda janga, yes, hili ni janga kwangu maana bajeti zangu zinaharibika kisa kuhudumia kidume... uwiiiiiiiiiiii

Acha mbwembwe wewe umeshajichanganya na ukaangukia kwenye hilo penzi wewe tulia uendelee kuhudumia na kupewa maraha ya dunia. Hapo mnachangia huduma. Yeye anakugegeda na wewe unamlisha ili apate nguvu. Ala!....wewe unafikiri lile zoezi ni la mchezo? TULIZANA. MPO WANGAPI?
 
Ebu piga chini fasta,majoto. Mimi ni mwanaume lakini nakerwa na mijanaume inayopenda kuegemea mwanamke kwa kila kitu. Umlalie, ummwagie, umlize, halafu umwombe hela ya matumizi,badala ya kumfuta machozi kwa karatasi nyekundu badala ya handkerchief? That is so crazy. Sikatai kuna kupata na kukosa, siku huna mara mojamoja akusaidie lakini sio uwe kama katoto kachanga kwake.

Nimekupenda ghafla!! Yereuwiiii ....UNA MKE!?
 
tel him vp ulete mada kwa jamvi while umependa mwenyewe? the issue ni kwamba u can't drop a guy ndo maana unambwala.
 
kwani wakati mnaanza uhusiano alikuwa na job o?
...na km alikuwa nayo ameachishwa?yaani,ungetuambia situation ikoje....
au labda ndo anatafuta kazi umechoka kusubiri!!?tuweke wazi MAJOTO
 
Yuko fit kabisa, tatizo ni pale tunamaliza naanza kudaiwa nauli, mara matumizi, mara oooooooo aaaaa gh! inanikera

Hii Kali! Lakini kama account inakubali why not? Ila ili kujua kama anakupenda kweli mjaribu kwa kutompa hela mwezi Mzima! Alaf jifanye kulialia kama mambo yamekua magumu!
Kama he is not after money atavumilia na kukuliwaza kwamba uckate tamaa na mtaendelea kawa pamoja.
Kama tapeli atakula kona mbaya! Itakusaidia sasa kufanya maamuzi magumu hapo.
Usimuache mjaribu kwanza unaeza kupoteza kitu chema bila kujua
 
Hivi mimi ni wa kumhonga mwanamume? Loh hivi nimepatwa na nini? Mwenzenu najishangaa sijawahi honga kidume chochote na si utaratibu wangu hata siku moja! Cha ajabu nimeangukia eti kwenye penzi, kidume hakina kazi, nakipa nauli, pesa ya kula, ya dawa na nguo nakinunulia! loh najishangaa nimekuwaje mie???? Najua vidume vitapiga kelele lakini ukweli utabaki pale pale, nimezaliwa mwanamke nastahili kupata huduma zote kutoka kwa mwanamume, nastahili kulelewa na sio kulea kidume chochote! Ndio je, ... mnataka kubisha, nyie bisheni tu ila nahitaji kukiondoa hiki kilichoniingilia na kupelekea mimi kuhonga kidume! eti penzi; loooo penzi gani la kulea dume zima lenye nguvu zake.

Kama kupenda ndio huku sitaki tena, nahitaji kuwa freee, nahitaji kupenda atakayenitunza na kunirusha rusha kwenye bahari ya maraha niufurahie uanamke wangu. Potelea mbali acha niliue hili penzi ingawa limenikaba koo maana kidume kiroho changu kimeridhika ila akili yangu haikubali kabisa... nitajitahidi niliepuke nipumue mtoto wa kike loH! nisaidieni jamani ili hiki kiroho changu kiache kupenda janga, yes, hili ni janga kwangu maana bajeti zangu zinaharibika kisa kuhudumia kidume... uwiiiiiiiiiiii

Ninavyofahamu mimi, kabla ya kujiingiza kwenye mahusiano na mtu, unatakiwa at least umfahamu japo kwa vitu basic kabisa kama elimu yake, anaishi wapi, kazi anazofanya, anapendelea nini nk nk. Naamini uliyajua hayo yote, lakini inawezekana kabisa kwa kujua au kutokujua, ulimkubali na sasa ameuteka moyo wako.

Sidhani kama ni jambo la kujutia sana, maana kwa hatua, amefuzu kwenye kukuburudisha ambacho ndiyo kigezo kimojawapo cha ndoa, ingawa si kigezo pekee maana ndoa ni zaidi ya 6 x 6! Kwa hiyo, nakushauri ukae nae muulize vyema kuhusu hatma ya maisha yenu, mipango yake ya baadaye, anafikiria nini kuhusu uhusiano wenu, anapenda kufanya shughuli gani nk nk.

Kama ukimuona ana nia ya maendeleo na mipango madhubuti ya kimaendeleo, unaweza kumsaidia kwa namna yoyote ile ili muweze kutimiza ndoto zenu, lakini kama unamuona kuwa ni zumbukuku baada ya mahojiano hayo, basi kazi ni kwako unaweza kuchagua kuishi naye na kumlea for the rest of your life au kufanya maamuzi magumu.

Prior na kumsaidia kwenye shughuli zake za kiuchumi ni vyema kufanya uchunguzi zaidi wa matumizi yake ya pesa, tabia zake, mwenendo wake, upendo wake kwako, commitment yake kwako, familia yake na mtazamo wake juu ya maisha yenu ya sasa na baadaye.

Kila la kheri.
HP
 
Back
Top Bottom