CORAL
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 2,828
- 1,861
Nimekupenda ghafla!! Yereuwiiii ....UNA MKE!?
Ndio ninaye.
Nimekupenda ghafla!! Yereuwiiii ....UNA MKE!?
Aisee umesahau; amnyonyeshe, amvuruge les wig lake, aharib make-up za mwenyewe ....... kuna watu hawana aibu hii dunia. Alafu unamkuta anajisifia ile mbaya!
Ninahisi unafuta mtu wa kukuhonga!
Ni kweli Biblia imeandika yote hayo uliyoyasema grafani11; na ukiisoma Biblia vizuri utaona kuna mambo yanagongana nadhani ndio maana majoto anaingia mitini kwa kuwa umembana katika hilo. Cha kuangalia hapa ni kwamba Mkutano wa Beijing ulilenga haki sawa kwa jinsia zote, kumbuka wana Beijing hawafati yaliyoandikwa kwenye Biblia ila lengo lao ni kumpa haki sawa mwanamke katika njanja zote ikiwemo elimu, kufanya kazi, kumiliki ardhi na mengine.
Sasa hapo msijichanganye maana hata hao wana Beijing walijichanganya ndio maana wengine walipoteza ndoa zao kwa kutokuwa na busara ya kupambanua mambo na kujua nini wanadai. Back to the topic Majoto anaona si halali kumlea mwanamume kisa mapenzi.
Nashukuru:Asante kwa kunielewa happiness win; grafani11 upooo? umeelewa sasa eeee, unanikaba tu mwana wa mwenzio lol!
Nashukuru:
1. Kwa kukubali kubanwa na maswali yangu ndiyo maana ukaingia mitini.
2. Kwa kukubali kwamba wanawake mlipoenda Beijing mliomba haki sawa kwa maeneo yote, na kwamba mlikiri wenyewe kwamba nyinyi ni sawa na wanaume katika kila idara ya maisha. Ingawaje happiness win amesema kwamba baadhi walipotoka huko walipoteza ndoa zao baada ya kutaka ku-implement ideology waliyoipata huko. Swali la msingi sana ni, mbona inaonekana kama vile haki hii inatafutwa kwenye ngazi za maamuzi tu na sio kila idara kama wafanyavyo wanaume mfano kuchimba mitaro,.... pamoja na kuhonga wanaume kama wanaume wafanyavyo kwa wanawake?
Wewe hukwenda Beijing lakini mbona sera zao unazitumia? halafu kama unajua wanawake pia hufanya kazi kama zile wazifanyazo wanaume unaona tabu gani kuchukua na majukumu mengine ya kiume pia?Kwani hujaona wanawake wanaofanya kazi za wanaume? wanachimba mitaro na kila kitu; hizo ni kazi. Naona unachanganya kati ya kuhonga na kulea dume zima lenye nguvu lisilokuwa na kazi. Sizungumzii kuhonga nazungumzia kulea. Jamani happiness win usikae mbali na mimi; wananikaba hukuuuuuuuuuuuuuuu mie sikwenda Beijing sasa wakikazia mambo ya Beijing mmmh....:drum:
Mkuu wataweza wapi kama mambo yenyewe ndiyo haya ya kupiga makelele mpaka mate yanakauka eti kwa tuhela tudogo tu twa kula nyumbani.haki sawa.......!!mtaweza kujikomboa kweli kama mnashindwa majukumu madogo kama hayo wanawake?
Wewe hukwenda Beijing lakini mbona sera zao unazitumia? halafu kama unajua wanawake pia hufanya kazi kama zile wazifanyazo wanaume unaona tabu gani kuchukua na majukumu mengine ya kiume pia?
Hiyo ni wewe na mtazamo wako, wenzako huku mitaani walipotoka Beijing wanatekeleza yote pamoja na hayo kwa amani kabisa.Nitachukuwa jukumu la kulea maskini na wasiojiweza lakini sio kidume chenye afya nzuri kabisa kisa penzi NOOOOOO! Yaani hata kikikaa kinajisifu ninalelewa na mwanamke; au kijisifie kwa mapenzi kinayoyafanya! nasema NOOOOOOO
ayaaaaa basi tenaaa CORALNdio ninaye.
Hivi mimi ni wa kumhonga mwanamume? Loh hivi nimepatwa na nini? Mwenzenu najishangaa sijawahi honga kidume chochote na si utaratibu wangu hata siku moja! Cha ajabu nimeangukia eti kwenye penzi, kidume hakina kazi, nakipa nauli, pesa ya kula, ya dawa na nguo nakinunulia! loh najishangaa nimekuwaje mie???? Najua vidume vitapiga kelele lakini ukweli utabaki pale pale, nimezaliwa mwanamke nastahili kupata huduma zote kutoka kwa mwanamume, nastahili kulelewa na sio kulea kidume chochote! Ndio je, ... mnataka kubisha, nyie bisheni tu ila nahitaji kukiondoa hiki kilichoniingilia na kupelekea mimi kuhonga kidume! eti penzi; loooo penzi gani la kulea dume zima lenye nguvu zake.
Kama kupenda ndio huku sitaki tena, nahitaji kuwa freee, nahitaji kupenda atakayenitunza na kunirusha rusha kwenye bahari ya maraha niufurahie uanamke wangu. Potelea mbali acha niliue hili penzi ingawa limenikaba koo maana kidume kiroho changu kimeridhika ila akili yangu haikubali kabisa... nitajitahidi niliepuke nipumue mtoto wa kike loH! nisaidieni jamani ili hiki kiroho changu kiache kupenda janga, yes, hili ni janga kwangu maana bajeti zangu zinaharibika kisa kuhudumia kidume... uwiiiiiiiiiiii