wachezaji ni ndugu zetu na ni binadamu, hakuna mtu mwenye akili timamu atafurahia kuona mchezaji anaumizwa, lakini sio sawa pia mwamuzi kupewa maagizo na mchezaji mnufaika. Refa kaonyesha udhaifu wa hali ya juu, aliamua kwa kutumia moyo wake badala ya ubongo wake.Yani kile kitimu kimeumiza wachezaji watatu mpaka wakatolewa nje, bado kuna utopolo anakitetea!!!
watu Mo alivyotekwa walishangilia na kuomba afe kabisa unashangaa kuhusu leo? hawa washavuka kwenye mstari wa ushabiki, they are confused wana roho za kutu sanaYani kile kitimu kimeumiza wachezaji watatu mpaka wakatolewa nje, bado kuna utopolo anakitetea!!!
Mbona sisi tunajua haifiki ndiyo maana tumewaomba ndugu zetu wa kidimbwi mtusaidie kufika nusu fainali jamani mbona ni simple tu klabu bingwa?Ni zamu yenu sasa na nyieHakiya mungu kama simba ikifika robo final msimu huu najitoa jf
Sio kufika makundi(group stage)?Hakiya mungu kama simba ikifika robo final msimu huu najitoa jf
Aaah jf hata ukitoka hakuna mazara, mm nataka unywe sumu ufe kabisaHakiya mungu kama simba ikifika robo final msimu huu najitoa jf
Hawa club bingwa yao ni Simba na tena mpaka wahaidiwe hela huko CAF ni sawa na wasomali tuMbona sisi tunajua haifiki ndiyo maana tumewaomba ndugu zetu wa kidimbwi mtusaidie kufika nusu fainali jamani mbona ni simple tu klabu bingwa?Ni zamu yenu sasa na nyie
wanasaidiwa hadi na uhamiaji suala la kibu dennis kuhakikisha hachezi msimu huu baada ya kuja simba U tanzania wake ume expireHawa club bingwa yao ni Simba na tena mpaka wahaidiwe hela huko CAF ni sawa na wasomali tu
We dada usitutafutie ban bure,maana nilitaka nikutukane bonge la tusi.Soka letu lina safari ndefu, simba ina hali nguvu sana. Ni kweli mchezaji kafanya makosa lakini waamuzi wote hawakuona, refa alipata wapi uwamuzi wa kutoa kadi nyekundu?
Ametoa kadi kwa kushauriwa na mchezaji ambae ni mnufaika na adhabu ile. Je, hii ni sahihi?
Hatari sana. Mechi moja inazalisha majeruhi 30!!Yani kile kitimu kimeumiza wachezaji watatu mpaka wakatolewa nje, bado kuna utopolo anakitetea!!!
Utopolo mnateseka kuliko Dodoma jijiSoka letu lina safari ndefu, simba ina hali nguvu sana. Ni kweli mchezaji kafanya makosa lakini waamuzi wote hawakuona, refa alipata wapi uwamuzi wa kutoa kadi nyekundu?
Ametoa kadi kwa kushauriwa na mchezaji ambae ni mnufaika na adhabu ile. Je, hii ni sahihi?
No proffesionalism kwa wanasoka wa bongo ile ya manula nayo ni redImefika point hata uhai wa mchezaji hauthaminiki tena inasikitisha sana,zile rafu ni za kuua kabisa zilitakiwa red cards 3 ndiyo maana namungo walikula sana kadi na mapenalties huko CAF sababu ya kuzoea ujinga wa hapa bongo