ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,661
Michuano ya Mapinduzi Cup 2022 inafikia tamati leo kwa mechi ya fainali kupigwa, AzamFC dhidi ya Simba SC. Katika fainali za mwaka 2017 na 2019 timu hizi zilikutana na zote AzamFC kaibuka bingwa. Je, AzamFC kutwaa taji hili kwa mara ya tatu mbele ya Simba SC ama Simba SC kulipa kisasi?
Tunakuletea LIVE mech hi kuanzia
saa 2:15 usiku.
Leo pia
Kutakuwa na VITA YA UFUNGAJI BORA: Hawa ndiyo vinara wa mabao kwenye Mapinduzi Cup 2022 , kila mmoja akiwa ametupia mabao mawili. Sasa leo kutakuwa na vita kati ya Iris Ilunga Mbombo wa Azam dhidi ya Pape Ousmane Sakho, wote wana mabao mawili kila mmoja...Je, unampa nani nafasi ya kuibuka mfungaji bora mwaka huu? Wengine walioaga mashindano wakiwa wamefunga magoli mawili kila mmoja ni:
Hussein Mwinyi - Meli 4 City.
Heritier Makambo - Yanga.
Abrahman Othman - KMKM SC
Tukutane saa 2:15 kwenye fainali LIVE
==========
2:16 Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi anakagua na kusalimia vikosi vya timu zote mbili
2:19 Rais Mwinyi anamaliza kupiga picha na timu zote
==
00' Kabumbu linaanza uwanja wa Aman
01' Bwalya anapiga free kick inayopaa juu ya lango baada ya Shomari kuangashwa
15' Almanusura Ajibu aandike Azam bao la kwanza kwa kutandika shuti kali kutoka nje ya 18, Manula anapangua
30' Kola anaachia mkwaju unaogonga besela, Simba 0-0 Azam
31' Sakho anaachia mkwaju unaopaa juu kidogo ya lango la Azam
32' Mlinda mlango wa Azam, Mathias Kigoya yuko chini baada ya kugongana na mlinzi wake katika purukushani za kuokoa
36' Kigonya anapangua mkwaju matata wa Kibu Denis
45+1' Simba wanapiga kona, inashindwa kuleta matokeo
45+2' Mpira mapumziko
55' ⚽ Simba wanaandika goli la kwanza kupitia mkwaju wa Penalt, Meddie Kagere
90+4' Mpira umekwisha, Simba mabingwa kombe la mapinduzi
Tunakuletea LIVE mech hi kuanzia
saa 2:15 usiku.
Leo pia
Kutakuwa na VITA YA UFUNGAJI BORA: Hawa ndiyo vinara wa mabao kwenye Mapinduzi Cup 2022 , kila mmoja akiwa ametupia mabao mawili. Sasa leo kutakuwa na vita kati ya Iris Ilunga Mbombo wa Azam dhidi ya Pape Ousmane Sakho, wote wana mabao mawili kila mmoja...Je, unampa nani nafasi ya kuibuka mfungaji bora mwaka huu? Wengine walioaga mashindano wakiwa wamefunga magoli mawili kila mmoja ni:
Hussein Mwinyi - Meli 4 City.
Heritier Makambo - Yanga.
Abrahman Othman - KMKM SC
Tukutane saa 2:15 kwenye fainali LIVE
==========
2:16 Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi anakagua na kusalimia vikosi vya timu zote mbili
2:19 Rais Mwinyi anamaliza kupiga picha na timu zote
==
00' Kabumbu linaanza uwanja wa Aman
01' Bwalya anapiga free kick inayopaa juu ya lango baada ya Shomari kuangashwa
15' Almanusura Ajibu aandike Azam bao la kwanza kwa kutandika shuti kali kutoka nje ya 18, Manula anapangua
30' Kola anaachia mkwaju unaogonga besela, Simba 0-0 Azam
31' Sakho anaachia mkwaju unaopaa juu kidogo ya lango la Azam
32' Mlinda mlango wa Azam, Mathias Kigoya yuko chini baada ya kugongana na mlinzi wake katika purukushani za kuokoa
36' Kigonya anapangua mkwaju matata wa Kibu Denis
45+1' Simba wanapiga kona, inashindwa kuleta matokeo
45+2' Mpira mapumziko
55' ⚽ Simba wanaandika goli la kwanza kupitia mkwaju wa Penalt, Meddie Kagere
90+4' Mpira umekwisha, Simba mabingwa kombe la mapinduzi