Nimepitia katika Instagram page ya #TFF nikitafuta taarifa rasmi za viingilio na wapi nitaweza kununua Ticket leo mapema ili nijiandae kwa mchezo wa kesho kushangilia maana na mm nimehamasika sanaa,lkn cha ajabu page hiyo haina chochote cha updates kama hizo na ukizingatia mchezo wa muhimu sana kesho. Hii inanionyesha kama TFF wanajua mchezo hauna umuhimu pengine na ndio maana hakuna updates nyeti kama hizo. Hii ni simanzi kwa Shirikisho hili. Unaepata ujumbe huu wafikishieni hao TFF
SOURCE:
Nimepitia katika Instagram page ya #TFF nikitafuta taarifa rasmi za viingilio na wapi nitaweza kununua Ticket leo mapema ili nijiandae kwa mchezo wa kesho kushangilia maana na mm nimehamasika sanaa,lkn cha ajabu page hiyo haina chochote cha updates kama hizo na ukizingatia mchezo wa muhimu sana kesho. Hii inanionyesha kama TFF wanajua mchezo hauna umuhimu pengine na ndio maana hakuna updates nyeti kama hizo. Hii ni simanzi kwa Shirikisho hili. Unaepata ujumbe huu wafikishieni hao TFF
SOURCE:
Wewe naye somtime utumiege akiliiii. Shabiki wa kweli wa Mpira Website aijulie wapi? Punguza ujuaji na kujifanya Matawi ya juuu bado Mashabiki wetu hata asilimia 1 hawajafikia hatua ya kupata hamasa Via Tovuti ya TFF never. Sie Tupo zetu Kwa Mtogole tunapasha Vigoma vya kesho tukakinukishe wewe endelea kutafuta Hamasa ya Website