popo1986
JF-Expert Member
- Jul 30, 2014
- 1,120
- 371
Nimepitia katika Instagram page ya #TFF nikitafuta taarifa rasmi za viingilio na wapi nitaweza kununua Ticket leo mapema ili nijiandae kwa mchezo wa kesho kushangilia maana na mm nimehamasika sanaa,lkn cha ajabu page hiyo haina chochote cha updates kama hizo na ukizingatia mchezo wa muhimu sana kesho. Hii inanionyesha kama TFF wanajua mchezo hauna umuhimu pengine na ndio maana hakuna updates nyeti kama hizo. Hii ni simanzi kwa Shirikisho hili. Unaepata ujumbe huu wafikishieni hao TFF
SOURCE:
Tanzania Football Federation (@tanfootball) • Instagram photos and videos
Sent using Jamii Forums mobile app
SOURCE:
Tanzania Football Federation (@tanfootball) • Instagram photos and videos
Sent using Jamii Forums mobile app