kindikwili
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 1,862
- 2,871
Mbona nimeona kama tarime na musoma, Watu wa mara tumeanza lini tena kuwa kama wa iringa
Inawezekana ni wa kuja ila haya yanatokea kuna kijana moja wa miaka kati ya 25-29 alijinyonga baada ya mzee wake kumnyima ng'ombe wa kutoa mahari, mwingine alijipiga risasi mdomoni sema hakufa kwa ajili ya penzi la mtoto wa askari baada ya baba yake kukataa asimuoe huyo binti wa askar. Haya matukio yote yalitokea pale UTEGI MADUKANI (RORYA) so haya mambo yapo popote ni matokeo ya msongo wa mawazo yanayonyima akili nafasi ya kuona matumaini yajayo juu ya maisha.