Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,875
- 37,657
Mkuu BT in kwa wale waaminio na kumfuata
Sio eti ndo tuendelee kutenda dhambi kisa zilishalipiwa gharama bila toba no...lazima utubu na umpokee kuwa Bwana na mwokozi wako hapo ss unakuwa umelipiwa
Haya endelea kuamini hivyo ulivyofundishwa bila kuhoji na kujirizisha...
maana u sehemu ya kutimiza Neno vilevile.
Uwe unauliza kwanza ndugu yangu! BWAKATA sio dhehebu bali ni Taasisi ilo kwanza lazima uielewe, pili, Hao mabohora na makadiani sio waislam kwasababu hawafuati mafundisho ya uislam na tatu, Answar Sunah sio dhehebu bali ni sifa ambayo kila mwislam anatakiwa awe nayo,(Maana yake ni kunusuru ama kuendeleza suna za mtume,) kwani hawa ni waumini wanaouhuisha suna za Mtume Muhammad (s.a.w) na kila kitu wanachokifanya kipo ndani ya mafundisho, na hata huo unaouita utofauti kipindi cha kufunga ama kufungua, kila kundi liko sahihi kwa maana limefuata mafundisho, mf. mafundisho yanatoa ruhusa kufungua tunapouona mwezi, ama kusikia kwa ushahidi usiokuwa na shaka, ama kukamilisha siku. hivyo ukifuata moja kati ya hayo utakuwa haujakosea. Umeelewa sasa.
Muislam ni muislam tu, Na mafundisho yake ni Qur-an, Hadith na Sunnah za Mtume Muhammad (S.A.W), kundi ni moja tu, nyumba ya ibada ni moja tu, Hao wanaojitambulisha kwa madhehebu mf. mimi kadiani, mimi ahmadya, sijui mimi bohora hao si miongoni mwa waislam kwani hawafuati mafundisho ya uislam wao wanamafundisho yao na majumba yao ya ibada. Hivyo ndivyo ilivyo. Natumaini umelewa sasa.
tuko huru na dhambi,Yesu katuweka huru,dhambi haipo maana yesu amelipa garama zake.
Damu ya yesu imetutakasa kabisa na kutuweka huru,Yesu katupa uhuru wa kufanya chochote.
Ukisema kuna dhambi uniambie Yesu alikuja kufanya nini?
Naupenda ukristo kwa sababu moja tu nayo ni kwamba zambi zangu zote zilishabebwa na Mtu mmoja anaitwa Yesu hivyo niko huru.
Mnaumana wenyewe mnanifurahisha.Ila mwisho wa siku najifunza kuwa haya makanisa mengi ya 'kiroho' ni chenga na chanzo cha magonjwa ya akili na mfadhaiko wa nafsi
To be honest nilishawahi kufanya maombi na hawa watu!
Yaani sikuwaelewa kabisa,kwanini kwenye maombi halitajwi jina la Yesu wala damu ya Yesu? Instead anatajwa mjumbe WA mapenz ya mungu sijui eliya Mara tebethi,Mara damu ya haki kweli na hukumu,ndo IPI hyo?!
Sikuelewa na nikaenda kuomba toba kwa kufanya nao hayo maombi manaake unaweza kuingizwa chaka kuabudu usichokujua hivihiv
Acheni kufanya mambo ya kawaida magumu. Yesu alituweka huru bila masharti yoyote,alijitoa kwa hiari yake bila masharti yoyote akalipa garama ya dhambi na kufuta dhambi kwa wamwaminio.
Yesu alisema kumkubali tu unakua huru na dhambi,unakua huna hatia na dhambi. Hakuna dhambi duniani yesu alishafuta zote.
Naona hakuna tofauti ya Mola wa Babu wa Samunge na kiongozi mkuu wa siloam aliyekufa na kwenda hukumuni(WAEBRANIA 9:27)
Acheni kufanya mambo ya kawaida magumu. Yesu alituweka huru bila masharti yoyote,alijitoa kwa hiari yake bila masharti yoyote akalipa garama ya dhambi na kufuta dhambi kwa wamwaminio.
Yesu alisema kumkubali tu unakua huru na dhambi,unakua huna hatia na dhambi. Hakuna dhambi duniani yesu alishafuta zote.
Sio nilivyofundishwa,biblia iko wazi ukisoma unaelewa,huhitaji kufundishwa. Huhitaji elimu kuelewa biblia.
Itafute kweli ikuweke huru, kubaki kwenye kanisa lako la "kimwili" hakukuhakikishii usalama wa roho yako.
To be honest nilishawahi kufanya maombi na hawa watu!
Yaani sikuwaelewa kabisa,kwanini kwenye maombi halitajwi jina la Yesu wala damu ya Yesu? Instead anatajwa mjumbe WA mapenz ya mungu sijui eliya Mara tebethi,Mara damu ya haki kweli na hukumu,ndo IPI hyo?!
Sikuelewa na nikaenda kuomba toba kwa kufanya nao hayo maombi manaake unaweza kuingizwa chaka kuabudu usichokujua hivihiv
Kwa hiyo imani yenu ni sawa na ISIS, Boko Haramu, Osama nk.? Tupe mahusiano ya makundi hayo na uislam wako.
Sasa unashangaa nini kuhusiana na "wakristo", sio kila anayejiita mkristo/mkristu huyafuata mafundisho ya Yesu Kristo mwana wa Mungu.
Hahaaa
Huyo anaitwa pastor maboya ni noma.
Lazima uhoji unachoambiwa na mtumishi sio kupelekeshwa
Itafute kweli ikuweke huru, kubaki kwenye kanisa lako la "kimwili" hakukuhakikishii usalama wa roho yako.
Kweli haitafutwi kwa kuhama makanisa bali inatafutwa kutokana na nia ya ndani ua kumjua Mungu na Neno lake na kulitenda pasipo sahau kumwomba akusaidie....Sidanganyiki ng'oo! Wala simtuzi muhubiri jukwaani.
Mi sishangai ila nimeeleza uhalisia katika dini ya uislam, sasa kama ni hivyo, ndio uniambie wewe sasa kati ya madhehebu yenu ya kikristo zaidi ya 3,000 duniani, ni dhehebu lipi linafuata mafundisho ya yesu na lipi halifuati!